Anayejua mpira ataelewa hili

Anayejua mpira ataelewa hili

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Kwa namna Timu za Tz nilivyoziangalia hasa Simba na Yanga, ni dhahiri shairi hakuna combination kwa timu zote mbili.Kila timu bado haina muunganiko na wachezaji hawako tayari kiushindani kutokana na kuchelewa kufanya maandalizi na mashindano ya Caf kuanza mapema tofauti na ilivyo kuwa awali.

Yanga bado tukijiandaa na wachezaji kuelewana Vizuri tunanafasi ya kusonga mbele tofauti na wengi wanaotubeza,pale kwenye ulinzi akiongezeka Kelvin Yondani ulinzi utaimarika vizuri zaidi,na tunaweza kupata matokeo ugenini.

Simba kama Yanga tu,niliwaangalia leo,game wangeweza kuiua Mozambique maana wale wamakonde ni wa kawaida sana japo walipata nafasi kadhaa hawakuzitumia vema, ila kwanamna Timu isivyo na muunganiko, wale jamaa nao wanaweza kuja napotelea mbali wakapata matokeo taifa.

Hii michuano itasurprise wengi,ngoja niishie hapo.

Tuwe na akiba ya maneno na wacheza rede pekee ndiyo wanasema tumepewa penaties
 
Kweli kabisa Mkuu, Nafasi ninayoitilia mashaka ni ya Aly Aly bado hayuko Fit.
 
Hivi wale wamakonde wanavyoruka ruka Simba tulivyoingia kwa kupoza mechi ndo waje wapone kwa Mkapa? Acha masihara # Taifa kubwa
Kama una abc za mpira kidogo utaelewa kuwa maingizo ya wachezaji wengi hakuna muunganiko, Simba ile iliyokuwa ilapigwa 5,game ya leo mngeshinda ugenini
 
Kwa anaejua mpira, ataelewa leo simba walikuwa wanatafuta droo, walipoozesha mpira hawakutaka kufunguka ila taifa utaona watakavyofunguka
Combination bado haijakaa vizuri,hakuna kupoza mpira
 
Kwa namna Timu za Tz nilivyoziangalia hasa Simba na Yanga, ni dhahiri shairi hakuna combination kwa timu zote mbili.Kila timu bado haina muunganiko na wachezaji hawako tayari kiushindani kutokana na kuchelewa kufanya maandalizi na mashindano ya Caf kuanza mapema tofauti na ilivyo kuwa awali.

Yanga bado tukijiandaa na wachezaji kuelewana Vizuri tunanafasi ya kusonga mbele tofauti na wengi wanaotubeza,pale kwenye ulinzi akiongezeka Kelvin Yondani ulinzi utaimarika vizuri zaidi,na tunaweza kupata matokeo ugenini.

Simba kama Yanga tu,niliwaangalia leo,game wangeweza kuiua Mozambique maana wale wamakonde ni wa kawaida sana japo walipata nafasi kadhaa hawakuzitumia vema, ila kwanamna Timu isivyo na muunganiko, wale jamaa nao wanaweza kuja napotelea mbali wakapata matokeo taifa.

Hii michuano itasurprise wengi,ngoja niishie hapo.

Tuwe na akiba ya maneno na wacheza rede pekee ndiyo wanasema tumepewa penaties
Kwanini unateseka [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kama una abc za mpira kidogo utaelewa kuwa maingizo ya wachezaji wengi hakuna muunganiko, Simba ile iliyokuwa ilapigwa 5,game ya leo mngeshinda ugenini
We haukuelewa game Approach ya mwalimu Simba Leo tuliwaheshimu wapinzani tulienda kutafuta droo timu ilikua inacheza taratibu
 
We haukuelewa game Approach ya mwalimu Simba Leo tuliwaheshimu wapinzani tulienda kutafuta droo timu ilikua inacheza taratibu
Aaah kila mtu anajicho lake ila Timu haina muunganiko japo nawewe unajicho lako
 
We kweli mpira hujui Simba combination ipi ilikua tatizo wakati maingizo mapya Leo wachezaji watatu na mmoja akiwa ni kipa?
Hao watatu walikuwa wanacheza peke yao wewe fundi unaejua mpira?
 
Kwa namna Timu za Tz nilivyoziangalia hasa Simba na Yanga, ni dhahiri shairi hakuna combination kwa timu zote mbili.Kila timu bado haina muunganiko na wachezaji hawako tayari kiushindani kutokana na kuchelewa kufanya maandalizi na mashindano ya Caf kuanza mapema tofauti na ilivyo kuwa awali.
Yanga bado tukijiandaa na wachezaji kuelewana Vizuri tunanafasi ya kusonga mbele tofauti na wengi wanaotubeza,pale kwenye ulinzi akiongezeka Kelvin Yondani ulinzi utaimarika vizuri zaidi,na tunaweza kupata matokeo ugenini.
Simba kama Yanga tu,niliwaangalia leo,game wangeweza kuiua Mozambique maana wale wamakonde ni wa kawaida sana japo walipata nafasi kadhaa hawakuzitumia vema, ila kwanamna Timu isivyo na muunganiko, wale jamaa nao wanaweza kuja napotelea mbali wakapata matokeo taifa.
Hii michuano itasurprise wengi,ngoja niishie hapo.
Tuwe na akiba ya maneno na wacheza rede pekee ndiyo wanasema tumepewa penaties

Yanga tuna timu nzuri sina wasiwasi
 
Ilikosa kiongozi,combination kutokaa vizuri mbele imetunyima magoli
Yanga wachezaji hawajiamini Ilo la Kwanza pili Yanga Hanna play maker Kama mlivyokua na kamusoko,Niyonzima timu haina uwiano Kati ya ukabaji na viungo wabunifu,Yanga sifa yake kuwa na winga hatari ila hata winga msimu huu hamna kitu
 
Back
Top Bottom