Anayejua mpira ataelewa hili

Daah
 
Kwa hili nakupongeza Mtani.
Hahahaaaa. Nawaza tu Mtani mngefanya vizuri hiyo mipango ya kuanzisha kitu cha kuingiza pesa ingekuja saa ngapi?
Mipango ilianza muda tu; hii ya juzi kwa mikwara niliongeza na projecter kabisa.

Lakini kilichotokea.
 
Hivi wale wamakonde wanavyoruka ruka Simba tulivyoingia kwa kupoza mechi ndo waje wapone kwa Mkapa? Acha masihara # Taifa kubwa
Weka akiba ya Maneno ndugu yangu.
Itakusaidia
 
Mdharau mwiba , Mguu huota tende. Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji Sio kila mcheza kwao hutunzwa. Hahahaaaaa naona Draw ya Away imewapitisha
Kikubwa muwe mnahudhuria uwanjani kuipa sapoti timu yenu, sio kujivunia droo home na kuponda mwenye droo ya away
NAWASALIMU SAAAAANA MIKIA WOTE HUKO MLIPO. AMANI YA BWANA IWE NANYI. APUMZIKE KWA AMANI MAREHEMU ALIEFIA TAIFA.
 
Vyura mmebaki... pambaneni sio kejeli wakati popote hamfiki.
 
Vyura mmebaki... pambaneni sio kejeli wakati popote hamfiki.
Mbona tayari ndiyo wako kwenye 32? Au hapo siyo ‘popote’? Ambaye hakufikia hapo ndiye hafiki ‘popote’. Kwa wasiojua, anayetolewa hatua waliofikia Yanga ndiyo huingizwa kwenye mwendelezo wa Kombe la Shirikisho. Au na hapo pia siyo ‘popote’?
 
Ni popote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…