Anayejua muuzaji wa jumla ya wine za dumu lita5

Anayejua muuzaji wa jumla ya wine za dumu lita5

Wine zipo nyingi tu ndugu yangu- tafuta inayoitwa Trivento Malbeck- wine pendwa sana hapa duniani au tafuta inayoitwa vishinat ( Inatengenezwa Romania) ni mchanyo wa wine and whiskey.. ni tamu sana, lakini muziki wake, usiombe.
au tafuta nyingine inaitwa Casillero del Diablo ya Agentina- uone shughui yake.
Binafsi natengeza zangu
Shukrani Mkuu, ngoja nizitafute hizo
kujua zaidi soma hapa: Vișinată - Wikipedia au hapa Casillero del Diablo – The Wine Legend
 
Wine zipo za kulewesha, nishawahi kuzima kwenye sherehe ya jumuia kisa wine. Niliacha kuhudhuria jumuia kama miezi mitano hivi, haha
Kweli tupu, siku moja nilikuwa na kiongozi mkubwa sana wa serikali, tukanywa chupa sita tu, alilala siku tatu bila kuamka. Tangu siku hiyo pombe aliacha kabisa na akachukia kabisa halufu ya wine. Huwa nikikutana naye tena, hataki tena kusikia mambO hayo ya wine. Yaani, alivua hadi nguo na ilikuwa ni winter, barafu zinadondoka, yeye anasema anasikia joto, siku hiyo siwezi isahahu maishani.
 
Mzee Swai
Wine +255 756 035 533
mcheck huyo yupo Dom ana wine nzuri za kila aina anasafirisha popote.
 
Wine zipo nyingi tu ndugu yangu- tafuta inayoitwa Trivento Malbeck- wine pendwa sana hapa duniani au tafuta inayoitwa vishinat ( Inatengenezwa Romania) ni mchanyo wa wine and whiskey.. ni tamu sana, lakini muziki wake, usiombe.
au tafuta nyingine inaitwa Casillero del Diablo ya Chile/Agentina- uone shughui yake. Binafsi, natengeneza zangu mwenyewe na huwa zinanitoa knockout.
Mkuu hebu toa utaalam wa kutengengeneza wine konk
 
Mkuu hebu toa utaalam wa kutengengeneza wine konk
Mkuu nunua hicho kifaa hapa chini kina maelezo yote ya namna ya kufanya kutengeneza chupa 30. Anza na hizo kwanza link ya kwanza…


Utahitaji pia na ndoo maalum mfano wa hii hizi hapa chini…
Ukipata vivyo vitu viwili Unaweza kuanza. Muhimu pia uwe na chupa za kutosha. Anza kutengeza na onja mwenyewe, Halafu ita marafiki wazitest- wakizipenda, anza home made wine and ukawapelekea ndugu na jamaa…

Maelezo yote yamo humo kwenye user manual namna ya kutengeneza… link ya pili click hapa chini…



Chupa waweza agiza popote
Anza na hapa …

 
Kweli tupu, siku moja nilikuwa na kiongozi mkubwa sana wa serikali, tukanywa chupa sita tu, alilala siku tatu bila kuamka. Tangu siku hiyo pombe aliacha kabisa na akachukia kabisa halufu ya wine. Huwa nikikutana naye tena, hataki tena kusikia mambO hayo ya wine. Yaani, alivua hadi nguo na ilikuwa ni winter, barafu zinadondoka, yeye anasema anasikia joto, siku hiyo siwezi isahahu maishani.
Hii Binafsi Naikubali Sana Huhitaji Glass Nyingi, Kuna Jamaa Alikunywa Hiyo Ya Kanisani
Alikuwa Na Gari Kufika Hapo Hazina Treni Inapiga Honi Yeye Wala Hasikii
Wine Unaweza Kuzima/Kuona Kitu Ila Ukakosa Nguvu Ya Kufanya Uondoke
 
Hii Binafsi Naikubali Sana Huhitaji Glass Nyingi, Kuna Jamaa Alikunywa Hiyo Ya Kanisani
Alikuwa Na Gari Kufika Hapo Hazina Treni Inapiga Honi Yeye Wala Hasikii
Wine Unaweza Kuzima/Kuona Kitu Ila Ukakosa Nguvu Ya Kufanya Uondoke
Na tatizo la mvinyo, ukinywa glass moja tu unataka ya pili na tatu… polepole inaingia, muda si mrefu dish linayumba unapoteza direction unafanya mambo ya ajabu- hutaki Tena kunusa halufu yake mpaka wiki ipite…Kwa kweli mvinyo unaadabisha- sio wa mchezo mchezo. Wanasema- drink responsibly.
 
Nyingine zina hangover mbaya kama K-Vant nahisi kuna kitu wanaongeza hawa watanganyika.
Kama

Juzi niko na beer yangu kaja mtu kaagiza smart gafla anarudi counter mmeweka ñ kwenye smart akaambiwa kunywa tulia ufaku ondoka kumbe wammexia na gongo..na jamaa anaijua lazy ya gongo aisee
 
Na tatizo la mvinyo, ukinywa glass moja tu unataka ya pili na tatu… polepole inaingia, muda si mrefu dish linayumba unapoteza direction unafanya mambo ya ajabu- hutaki Tena kunusa halufu yake mpaka wiki ipite…Kwa kweli mvinyo unaadabisha- sio wa mchezo mchezo. Wanasema- drink responsibly.
Yaani Kuliko Ununue K~Vant, Konyagi Unywe Bora Mvinyo Ila Ule Ushibe Uwe Maeneo Salama Maana
Ghafla Unaweza Kutoka Jasho Kama Nyungu Vile, Japo Inasaidia Sana Tumbo
 
Back
Top Bottom