Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Natabiri mwaka 2019/2020 wanafunzi wote watapewa mikopo 100%,watz bhana kwa kudanganyika
 
katika watanzania wanne mmoja kichaa sijui wafanya maamuzi mabaya wapo kwenye kundi gani
 
Labda wakuu mnisaidie hapa,mimi ninaposikia hili neno hua napata kizunguzungu hapa! Hua tunamaanishiwa nini hasa?


Mnyonge huyu ni yupi hasa? Huyu mnyonge ananufaikaje na Rais uwepo wa wanyonge? Naomba mnisaidie wadau pengine na mimi kama mnyonge inawezekana kuna haki naipoteza.

Sasa ili ukidhi vigezo vya kua mnyonge unatakiwa uwe na nini hasa? Maisha ya mnyonge hua yanakuaje hasa? Ni vipi sasa mnyonge mimi ninanufaika na uwepo wa Rais mnyonge?
 
raisi wa kumkamua mnyonge
 
Acheni unafiki raisi wetu anafanya mazuri mengi kwani nyie hamyaoni
 
Wana jf wenzangu habari zebu.
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu leo nimeibuka tena.
Kiukweli mambo mengi yametokea ndani ya muda mfupi katka nchi yetu. Lakini sitapenda kuyaorodhesha tena hapa natumai yanaweza kunifanya niandike maneno mengi.
kwa kifupi naomba nitumie nafasi hii kumshauri Mh Edward N. Lowasa,akajaribu kuonge na mkubwa mwenzake Mh Rais wetu John Pombe Magufuri .
Kiukweli gari inapokwenda sipajui ila naona limeacha barabara limeingia polini,alafu dereva hana wasiwasi ila utingo na wasaidizi wengine wa gari nawaona wanajitayarisha kama vile wanataka kuruka lakini mwingine anaendelea kutuchaji nauli. Hofu yangu tairi uwenda zitapata pacha ama la tusije tukaaribikiwa njiani.
Binafsi naona kama dereva ameva mkanda wa kujitoa muanga( inshu ya mikopo ya wanafunzi,uhakiki usiyo na mwisho,inshu ya Arusha,inshu ya zenj,ajira mpya nk)
Kiukweli napendekeza Mh lowasa akaonge na mwenzie labda uwenda akasikilizwa. Jamani serious mambo ni magumu sana,tuache kufanya siasa kwa inshu serious za kitaifa.
 
Najaribuu ku waza kwa sautiiii ama mkuu na yeye ameanzaaa kuisoma namba nn. Kama ndivyooo basi mpaka 2020 ata kijachoo kitakuwaa kinaisomea namba tumboniii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…