mkereketwa89
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 277
- 145
Huyu ni chizi ama anazo timamu maana simuelewi anacho andika hapa.Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
mmmhhabar wakuu,
Matendo yake,matamko yake..hakika yanatia shaka..alichofanya kagera,shinyanga..yanafahamika..amekuwa ni rais mbabe..ninahisi anaweza fika mbali na kubadilisha katiba..ili kujiongezea muda wa kuongoza? hakika natabiri hili laweza tokea
baada ya upinzani ccm wakae mkao wa kulahabar wakuu,
Matendo yake,matamko yake..hakika yanatia shaka..alichofanya kagera,shinyanga..yanafahamika..amekuwa ni rais mbabe..ninahisi anaweza fika mbali na kubadilisha katiba..ili kujiongezea muda wa kuongoza? hakika natabiri hili laweza tokea
Joseph Kabange wa Kabila??!!Utashangaa tunaambiwa moja kati ya haya:
1.Kwa sasa serikali haina fedha za kugharamia uchaguzi hadi tutakapotangaziwa.
2.Hali ya kiusalama nchini si shwari hivyo tunasogeza mbele tarehe ya kuanza kampeni.
3.Rais atumia decree kubadilisha mihula ya urahisi..........
Halafu wapinzani wetu walivyo watiifu kwa mamlaka plus watanzania mashujaa nyuma ya keyboard,....tusubirie huu utabiri.
Walianza hivi hivi.Joseph Kabange wa Kabila??!!
Tuwachie kesho ndo wanajua bwana. Nyie ni watabiri tu...habar wakuu,
Matendo yake,matamko yake..hakika yanatia shaka..alichofanya kagera,shinyanga..yanafahamika..amekuwa ni rais mbabe..ninahisi anaweza fika mbali na kubadilisha katiba..ili kujiongezea muda wa kuongoza? hakika natabiri hili laweza tokea
Sidhani kama atapenda kufanya hivyo, rahà ya kuongoza upendwe na wale unaowaongoza.
Mtaongea sana na maneno yoote....Mtalala na kila mkiamka Magufuli ndio President hadi 2025.....kama unakereka kana uraia chukua hata uraia wa nchi mpya Sudan ya Kusini ili uendelee kuota vizuri eti Dr. Col. John Garang de Mabiour anafufuka.habar wakuu,
Matendo yake,matamko yake..hakika yanatia shaka..alichofanya kagera,shinyanga..yanafahamika..amekuwa ni rais mbabe..ninahisi anaweza fika mbali na kubadilisha katiba..ili kujiongezea muda wa kuongoza? hakika natabiri hili laweza tokea