Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Umepata like zakutosha ila nizakinafiki. Umepotea mwenyewe.
 
RAIS WETU NI CHAGUO LA MWENYE ENZI MUNGU. ....WAFALME WA PILI SURA YA SABA. ....
 
tatizo upinzani uchwara. hatujui tunataka nini, acha tunyooshwe.
 
Sasa ni wakati wa kuchagua vipaumbele.Sio rahisi kuendeleza kila kitu kwa pamoja.Resources hazitatosha na juhudi itatapanywa.
 
[HASHTAG]#Invisible[/HASHTAG] naomba hii iwe special thread mpaka hapo tutapopata jibu
 
imi ni kama mleta na mwasilishaji TU wa hii maada ambayo inaonesha kuna upendeleo Fulani kutoka kwa raisi wetu.
Tangu aingie madalakani ziara zake ameelekeza kaskani na hata moja hakuna ambayo ameifanya kusini mwa Tanzania. Hilo limepelekea watu wa kusini na kuconclude kwani JPM NI RAISI wa kaskazini. Tumekuwa tukisubiri kwa hamu RAISI afanye ziala hata moja kwa sababu kuna mambo mengi tunahitaji msaada wake
By mkeleketwa south highland
 
Fasihi tamu sana.
Hata mimi nimeshuhudia Raisi anafanya ziara kaskazini tu.
Kila akifika kaskazini lzm afanye mkutani na kuongea lugha ya huko kaskazini.

Kajenga kiwanja kaskazini kisichokuwa na tija huko kaskazini.

Kwanini nyie watu wa kaskazini mnapendelewa hivi?
 
Hii ni stress lazima serikali iwasikilize na kuwajali raia wake...ubabe hadi msibani?
Rambirambi za wanakagera lazima zimuumbue mtu mzima
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…