Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kama haujui tunaelekea wapi? basi hata nyumbani kwenu hupajui vizuri kwa kweli
 
Jeshi la Misri lilipoona Rais mpumbavu wa nchi hiyo Mohammed Morsi anatenda kinyume na matakwa ya sheria kuongoza nchi hiyo halikusita kuchukua hatua...it is high time JWTZ sorted out Magufuli!
 
Hawa jamaa CCM wanawafanya watu wengine wafirisike wakati wanatajirika, naweza kuwafananisha na REDUCING AGENT
 
yaan huyu wa tano katuua kabisa
 
assalam alaikum wanakuu ndani ya jf
toka jana nilikua nafikiria mwenendo na matendo yanayotokea ndani ya nchi hi ya Tanzania toka tumchague ndugu joseph john pombe magufuli
kama skosei alivutia macho na masikio ya kila mtanzania baada ya swala lake la mwanzo la kutembelea hazina na kukukta uzembe wa baadhi ya wafanyakazi
swala la ufisadi ndani ya bandari reli na maeneo mengine ya serikikali yalipamba moto hata lile swala la usafi nchi nzima lilikubalika sana wasanii waliimba na mheshimiwa siku ya kwanza alishiriki
kwa hakika hakukuwa na mpinzan wala mwana ccm aliyekua kinyume na mheshimiwa nilifurahi niliona kura yangu skuitupa
kipindi kile cha kampeni ahad zilikua nyng mno sio tu katka kilimo elimu ajira na miundo mbinu lakini kutokana na kasi ya mamgufuli niliamini hakuna kizuizi
nilifurahi sana kuona pato la taifa linakua kupitia kodi huku matumizi yakipungua nilijua itafika siku tutaweza kujitegea niliiota libya kipind cha muammar gadafi let me call him a father of Africa nilianza kuiona tanzania ya ndoto yangu
kumbe nilikua mpuuzi baada ya muda nilianza kuona maigizo katika maisha ya watu
tulipouliza kuhusu ajira tuliambiwa pesa hazitoshi zilipotosha tliambiwa uhakiki wa wafanyakazi hewa baada ya uhakiki leo walim wa arts hawatakiwi
so sad
sasa naona sarakas katika uongoz aliwaanza wabunge wa chadema mara lema mara lisu kamfuata diwan wa ccm manji
sasa imebadilika bunge lipo against makonda makonda against bunge ajabu rias yupo upande wa makonda nakumbuka usemi usemao mtafuta nawe sio mla nawe
rais anavutia macho na masikio ya wananchi ili tumuone wa maana kipind bunge sasa halipo ila naona tumepoteza uelekeo
sisi tunataka ajira bhna acheni siasa zenu bhna
rais anatamani kua igp ili awakomoe watu so sad ss tulikuchague uje utukomboe bhna
sasa iv kuna njaa chakula kidogo nn serikali inafanya jambo kama hili lisitokee tena
mnatuletea maswala ya madawa ya kulevya na siasa za kuvimbishiana misuli
mfumuko wa bei umeshaanza kama kawaida sukar juu unga juu mchele juu tutegemee vtu restaurant vitakua juu na ili kumudu gharama za maisha kila mtukatka nafac yake atapandisha bidhaa yake thaman ili akopi na mazingira lakin watanzania tunamuangalia makonda na madawa so sad
siasa za maonesho na kibabe na kuoneshana uwezo ni tatizo
serikali kuu upande wa executive excluding prime minister wanalazimisha judiciary iwe chini yao na wanaweza koz wapo wamwekwa na rais huku bunge wakiliacha pembeni wanaliona kama mbwa asiyengata hii ni dharau
fanyen mliyo ahid tupeleken tunapohitaj achen siasa za maigizo na maonesho tumechoka sasa fanyeni kazi sio kujipiga selfie
 
Jeshi la Misri lilipoona Rais mpumbavu wa nchi hiyo Mohammed Morsi anatenda kinyume na matakwa ya sheria kuongoza nchi hiyo halikusita kuchukua hatua...it is high time JWTZ sorted out Magufuli!

Kiukweli hii sio nzuri kwa kweli.. N hii nchi yetu ya TANZANIA na sio MIsri. Usiseme maneno hayo bwana, uchochez sio mzuri baina ya jesh na Amiri Jeshi mkuu
 


Sasa mawazo yako ni mzuri ila embu karibu huku malolo tulime vitunguu uone kama utaendelea kulaumu serikali kwa ulichokisema hapo juu. Hata huyo muhamda Gadaf hakuanza tu mara moja na nchi ikakaa sawa noo. alipambana na watu makin na wakfikia pale walipo, itakuja kufika miaka ya mbele tutasema bora MAGUFULI na tutakumbuka sana kauli zake na mienendo ya kazi anayofanya kwa sasa,. cha msing ni kujiendeleza kifikra chanya katika kutafuta maisha na kipato. Hapoi ndipo utaona nchi yetu inatakiwa tufikie wapi ila sio kwa kuangalizia kwa nchi za watu kama unaangalia ,movie vile
 
MKUU UPO SERIOUS kweli umeelewa nn namaanisha unaangalia nn kinachotokea tusiangalie siasa kama sanaa au kuishabikia kama mpira eti lazimawapatikane wanaosaport na wanopinga natamani kuwa mkulima lakin je naweza nimepoteza muda wangu nimefifilisha ndoto zangu kilimo je kitanitoa
"sema ukweli japokuwa chungu" huu USEMI UNSPENDEZA UKISEMWA MAPEMA YAANI MTU APATE KUJUA NN AFANYE MAPEMA LAKIN SIO MTU OUSHAPOTEZA MUDA ALAF NDIO UNAAMBIWA OOOH HAIWEZEKANI huku ni kucheza n maisha ya watu ok mtu anapata ajira amesharipot kazin na kaz ameanza unasema utaratibu haukufuatwa huku ni kucheza na maisha ya watu
mambo mengi yanafanyika hovyo
kila siku neno ni moja tu ntawanyoosha ok yes naona tunanyooka
swala la mikataba iliyoingia serikali mikataba mibov sijasikia ilyovumjwa hata mmoja nazungumza ambayo ipo katika utekelezaji especialy madini
in short we are loosing our target
serikali imekua ni iya uongo al the time sijui hata utekelezaji wa ile bajet ya serikali upo vp maana naona ni blue tu
sasa namkumbuka sana kikwete mr out of stress smile is his identity
he was some how kama oficers wake wangepambana vzr na rushwa tanzania ingekua vzr
 
unaniambia nije kulima msing wa kilimo sna be serious mkuu
 
Huyu jamaa ni mchoyo mno wa Ajira. Tazama watoto wanavyosumbuka hawana walimu. Baada ya muda nchi itakuwa ya wajinga tu.
 
Naona ni mkakati Wa huyu bwana mkubwa kuhakikisha kwamba, kama ulikua chini basi anakufukia kabisa, na kama ulikua juu basi anakushusha chini maana amejivisha uungu ndo maana anaiita Tanzania ya Sizonje, maana yeye ndo amifanya iwepo.

Kila siku akisimama kwenye majukwaa anasema mniombee, sasa inawekana hatujamuelewa anataka tumuombee kwa Mungu yup? Mungu Wa mashetani au huyu Mungu tunayemuabudu wote?

Kama ni Mungu wa mashetani sawa lakini kama ni Mungu Wa kweli nakataa Sizonje atakua anautani.

Kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa hivi; Nchi na vyote vijazavyo ni Mali ya bwana ( Sizonje huwezi kuiita Tanzania ya Sizonje)

Tena ikaandikwa hivi mkinikubali na kunitii mtakula mema ya nchi..Sasa Sizonje anataka watu wakose mema haoni kama anaenda kinyume na Mungu.

Au anataka ale mwenyewe alafu sisi ndo tuishi kama mashetan? M nimestop simuombei Sizonje hadi aseme tumuombee kwa Mungu yupi.

Nimeshtuka labda Sizonje ana Mungu wake ndo anataka atuungalishe kiaina mi nimejitoa huko, wewe je?
 
Wanasemaga chambua kama karanga uwiiiii..... maisha na muziki wacha maneno weka muziki

bambata shika kamata(in magu voice)
 
Reactions: SDG
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…