Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Serikali ya awamu ya 5 kwa maono yangu ndio serikali pekee kupingwa si tu na wapinzani, bali hata baadhi ccm wenyewe, imekuwa serikali ya matukio, kila kukicha inacheza na medias, na kila mpingaji anaitwa fisadi, si mzalendo, eti wanaopinga ni wale wazee wa madili, dah, tupo sie ambao toka tumeanza biashara hatujawahi kuacha kulipa kodi kwa wakati,

ila Kiukweli hali ya maisha ni mbaya sana huku, yani mpk wale kuku wa mayai siku hizi hawatagi tena, mashambani ndio kabisa, tuliozoea kuvuna gunia 50 sasa hivi ni gunia 10 tuu, hv huyu aliyeshushwa ni malaika au and vice verse is true?yani hata wale dada poa hapo kabla walijiuza mpk kwa 50k ila walikuwa wapo kibao, siku hizi wameshusha bei mpk 5k ila kuwapata nao ni tabu
 
Hii ni sawa tu na watoto kumlalamikia baba au mama yao kuwa ni mnoko anawapa wakati mgumu. Sawa, kwa uelewa wao mdogo wanakuwa sahihi, lakini kwa aliyepevuka kiakili atagundua kuwa wakifanyacho wazazi kwa watoto ni sahihi. Mwisho wa siku hao hao watoto, wakishafikia umri wa utu uzima, watajirudi na kuanza kuwasifia wazazi wao kwa kuwapa malezi safi kabisa yaliyowajenga kimaadili.
Hakuna mzazi mwenye nia mbaya na makuzi ya mwanae. Vilevile mzazi akifuata maelekezo au malalamiko ya watoto kuhusu malezi kwa hakika ataharibu tu mfumo mzima wa malezi bora.

Haa haaa mfano wako umenichekesha sana.Kuna mtu mmoja (mungu amrehemu) alikataa Mwl.Nyerere kuitwa Baba wa Taifa,akaendelea kusema kumuita Baba wa Taifa eti ina maana mama zetu wote ni wake zake,ametuzaa,Nchii hii ina vituko sana
 
Ok naweza kujiridhisha kuwa amekuwa akirekebisha mifumo , lakini wasiwasi ni kuwa tayari ameyagusa maisha ya wananchi moja kwa moja. wakati anaingia madarakani sukari ilikuwa 1800-2000 , unga kg 1 sh 1000, mafuta ya kupikia lt 5 sh 12000. hvo ni baadhi ya vitu tu.Kwa sasa bei imepanda mara dufu. Kazi ya kiongozi ni kuboresha maisha ya watu. Ila kwa kiongozi tulienae ni kuteaua na kutengua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Ukiwa Raisi unatakiwa ujue hali za wananchi wako na kuzifanya ziwe bora",,raisi anapigania matatizo ya jumla kama elimu,dawa,barabara,maji,umeme na miundo mbinu kwa ujumla,tatizo nyie mnaongelea matatizo binafsi ndo maana nilikupa mifano fulani.Ok.. mfano mwingine USA tunaiita LAND OF OPPORTUNITY,ila marekani hiyo hiyo kuna wabongo kibao wanalalamika mambo magumu na kulalamikia system,tofauti kule unakufa kivyako tu,hakuna wakukusikiliza,maana yangu ni kuwa mtu mweusi ameumbwa mlalamishi sana.Tangu serikali ya Nyerere mpaka hii awamu ya tano hakuna siku watu hawajalalamikia serikali hata ingefanya nini.Pambaneni na hali zenu.
Dawa??????????kuwa serious acha upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha hayajirudii Mara mbili tunahitaji kupiga hatua,tunataka maamuzi yenye tija kwa nchi sio maamuzi yenye hasara kila kukicha

Magufuli wewe ni mkuu wa nchi tumekupa kila kitu ili uwe dereva wa nchi yetu

Sasa kwanini unkosea kila maamuzi unayofanya?
Ni kweli watanzania tulikosea lukuchagua?

Magufuli kuwa fisad sio kuiba Mali ya umma tu hata kulitia Taifa hasara kutokana na maamuzi ya hasira na yasiyofuata sheria ni ufisad


Tulikuamin tukasema Tanzania imepata nyerere mpya lkn imekuwa tofauti

Tupo njia panda mkuu magu hatujui jahaz laenda kus au kas


Tuliza kichwa Fanya maamuzi sahihi usituharibie nchi

We live once miaka mitano au kumi inatosha kabisa kuharibu maisha ya watu kutokana na Sera zako

This is a wake up call

02 : 35
Sep.05.2017

Usiku mwema

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Nilitegemea kuona sehem alipokosea sana hadi ukaamua kuandika uzi huu... Usiwe kama asilimia kubwa ya waandishi wa tanzania kuchukua habari kwenye mitandao na kuandika bila uchunguzi wa kina. Toa ufafanuzi wapi amekosea sana ili ajue ajirekebishe wapi mana kila mtu hukosea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufukara hauletwi na Raisi wa nchi yoyote,wala hakuna Raisi anayegawa pesa,tafuta alternative pale ulipo kwa namna yako,swala la kulalamikia serikali lipo miaka yote na nchi nyingi za Africa,hatupendi kufanya kazi,tunataka shortcut,tunaishi nje ya uwezo wetu,tunapenda kubahatisha,huna uwezo wa kuweka mafuta kwenye gari unanunua gari la CC 2500 au 3000,umetoka chuo juzi juzi unatangaza ndoa fasta na budget mil 25,mshahara laki 8 unamlipia mtoto milioni 2 kwa mwaka school bus laki na 60 kwa mwezi tena nursery.Kumbe ni michongo ya ofisini,uongozi ukibadilika akaingia mwingine mambo yakabadilika unalalamikia serikali,ikusaidieje?,.,.Kwa waliozoea kula kwa jasho na kuishi ndani ya uwezo tunaona ni poa tu.Kila mtu apambane na hali yake hakuna namna.
Tunalipa kodi ni lazima tuone serikali inatumiaje hela zetu.
 
Hii ni sawa tu na watoto kumlalamikia baba au mama yao kuwa ni mnoko anawapa wakati mgumu. Sawa, kwa uelewa wao mdogo wanakuwa sahihi, lakini kwa aliyepevuka kiakili atagundua kuwa wakifanyacho wazazi kwa watoto ni sahihi. Mwisho wa siku hao hao watoto, wakishafikia umri wa utu uzima, watajirudi na kuanza kuwasifia wazazi wao kwa kuwapa malezi safi kabisa yaliyowajenga kimaadili.
Hakuna mzazi mwenye nia mbaya na makuzi ya mwanae. Vilevile mzazi akifuata maelekezo au malalamiko ya watoto kuhusu malezi kwa hakika ataharibu tu mfumo mzima wa malezi bora.


Mfano wako ni irrelevant, sisi ni watu wazima kuna wengine tunamzidi uelewa wa mambo tofauti, wengine wanamzidi hekima na busara, wengine wamesomea masuala ya uongozi na uchumi yeye hajui uchumi nk nk,

Kwa maana hiyo wanaujuzi zaidi yake anahitaji kushirikiana nao, tofauti na mtoto kwa babaye hata hivyo si kila akisemacho mtoto kwa baba hakifai, kuna wakati mtoto anaweza kuwa wa kwanza kumuona nyoka akikuambia ukamdharau shauri yako lakini amesema.
 
Unajieleza mambo meengi utadhani wakili wa serikali au msemaji wa ikulu. Jus 'bear it into your rug-head, ukiwa kiongozi unapaswa kuzijua hali za wananchi na kuzifanya kuwa bora.
Halafu, hakuna mtu anayesema anataka kugawiwa fedha na serikali. Kauli za baada ya uchaguzi ni kama hizo zako. Hivi alivyokuwa anapiga tu-pushapu twa JKT alikuwa anataka nini? Aliahidi nini? Kwa mawazo yako mtu akimsomesha mtoto wake shule ya gharama ni lazima awe amepiga dili? Acheni kuongozwa kwa hisia hasi mtahasiwa!!!

Mpiga deal Mkuu ni yeye mwenyewe.Bilion nane za kivuko kibovu leo tunaambiwa hwafukui Makaburi,ila ya walala hoi yanafukuliwa.Nyumba za Kimara leo zote ziko chini.Nasikia anataka kujenga uwanja wa mpira
 
.
Mkuu, tafadhali ainisha hapa hayo maisha mabaya wanayoishi watu. Pia tuwekee hapa ni kwa namna gani kiongozi anawatesa watu.

Pia kumbuka hakuna mtu aliyekatazwa kuwa tajiri. Ufukara wa watu ni kutokana na lifestyle yao mkuu, hakuna kiongozi atakuja awe anagawa pesa kwa watu ili kuwakwamua kiuchumi. Kama mnategemea hicho sahauni, hata mitume wakishuka hawataweza kuwaridhisha.

Mara nyingine watu kama nyie ndio mnapalilia umaskini hapa nchini kwa kuamini na kuhubiri kuwa umaskini unasababishwa na serikali. Tumieni raslimali na nguvu zenu kujikwamua, msingoje serikali iwawekee mabomba ya maziwa na asali.

Wananchi tunajituma sana lakini serikali hii imegeuka ya kinyonyaji badala ya kumsaidia mwananchi pamoja na rasilimali zote tulizojaliwa na Mungu .

Wananchi tunalipa kodi zisizo stahili achilia mbali ubireshaji wa huduma zinazotolewa.ukija kwa watumishi ndio kabisa serikali inataka wafe masikini wanakata mshahara wote mtu anabaki kuvumilia tu huu upuuzi unaofanywa na hii serikali ipo dawa yake inakuja. subirini
 
.
Wengi wanaamini maisha bora yanakuja pasi kufanya kazi. Unakuta vijana wanashinda kijiwani halafu ndio wanaongoza kwa kuilalamikia serikali. Wangine wanataka kuishi maisha ya ghali kuliko vipato vyao, na ndio hao walalamikaji wa kila kukicha. badala ya kufikiri kuongeza kipato chao fikira zao zimelenga kukosoa tu kila kifanywacho na mamlaka.
hivi nyie mnaosema vijana wanashinda vijiweni chakula ni serikali inawapa au huwa wanakuja makwenu kuwaomba chakula? niondolee upuuzi hapa
 
Maisha hayajirudii Mara mbili tunahitaji kupiga hatua,tunataka maamuzi yenye tija kwa nchi sio maamuzi yenye hasara kila kukicha

Magufuli wewe ni mkuu wa nchi tumekupa kila kitu ili uwe dereva wa nchi yetu

Sasa kwanini unkosea kila maamuzi unayofanya?
Ni kweli watanzania tulikosea lukuchagua?

Magufuli kuwa fisad sio kuiba Mali ya umma tu hata kulitia Taifa hasara kutokana na maamuzi ya hasira na yasiyofuata sheria ni ufisad


Tulikuamin tukasema Tanzania imepata nyerere mpya lkn imekuwa tofauti

Tupo njia panda mkuu magu hatujui jahaz laenda kus au kas


Tuliza kichwa Fanya maamuzi sahihi usituharibie nchi

We live once miaka mitano au kumi inatosha kabisa kuharibu maisha ya watu kutokana na Sera zako

This is a wake up call

02 : 35
Sep.05.2017

Usiku mwema

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Hebu sema mkuu, wewe binafsi JPM kafanya decision gani mbaya ambayo imeletelea kuharibu maisha yako?Kwa upande wangu mimi, mzunguuko mdogo wa fedha umeniathiri,lakini nimefurahishwa sana na uboreshaji wa miundombinu,kudhibiti wizi wa mali zetu za asili;kupiga vita ufisadi,wizi wa mali za uma,matumizi ya vyeti fake,uzembe sehemu za kazi,rushwa,ukwepaji kodi,matumizi na uuzwaji wa madawa ya kulevya na kuongeza uwajibikaji sehemu za kazi.

Hata hivyo harakati hizo ambazo nimezitaja kwa kiasi kikubwa, naamini ndizo zilizofanya mzunguuko wa hela uwe mdogo.Kwa sababu hiyo sichukii, kwa kuwa najua nia ni njema kwetu na maendeleo ya taifa kwa ujumla.Najua kwamba kila jambo lina "pro and cons."
 
.
Wengi wanaamini maisha bora yanakuja pasi kufanya kazi. Unakuta vijana wanashinda kijiwani halafu ndio wanaongoza kwa kuilalamikia serikali. Wangine wanataka kuishi maisha ya ghali kuliko vipato vyao, na ndio hao walalamikaji wa kila kukicha. badala ya kufikiri kuongeza kipato chao fikira zao zimelenga kukosoa tu kila kifanywacho na mamlaka.


Angalia na upande wa pili!!! Fuatilia hao wanaoshinda vijiweni alaf uje useme ni watu wa aina gani!!! Wengine wanavyeti kabisaa yaani walipoteza mda mwingi wakiwa mafunzoni ukiangalia na elimu yenyewe sio rafiki kwa kujiajiri na utakuta Hata mazingira rafiki ya kujiajiri hakuna !!!! Sasa kwanini wasilaumu serikali!!!!!

Alaf ww umekuja na msemo uleule kwamba watu hawatafuti visenti wanashinda vijiwen!!!! Umekalili!!! Mi sio mtu wa vijiweni nnashughuri zangu lakin usikalili kuponda wenyevijiwe hujui2 pale wengine wakoje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya awamu ya 5 kwa maono yangu ndio serikali pekee kupingwa si tu na wapinzani, bali hata baadhi ccm wenyewe, imekuwa serikali ya matukio, kila kukicha inacheza na medias, na kila mpingaji anaitwa fisadi, si mzalendo, eti wanaopinga ni wale wazee wa madili, dah, tupo sie ambao toka tumeanza biashara hatujawahi kuacha kulipa kodi kwa wakati, ila Kiukweli hali ya maisha ni mbaya sana huku, yani mpk wale kuku wa mayai siku hizi hawatagi tena, mashambani ndio kabisa, tuliozoea kuvuna gunia 50 sasa hivi ni gunia 10 tuu, hv huyu aliyeshushwa ni malaika au and vice verse is true?yani hata wale dada poa hapo kabla walijiuza mpk kwa 50k ila walikuwa wapo kibao, siku hizi wameshusha bei mpk 5k ila kuwapata nao ni tabu
kwa hiyo mifano yako uliyotoa hapo sijaribu kuamini kama umefika hata kidato cha nne na kupata walau divisheni 4 ya 31.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Mkuu, tafadhali ainisha hapa hayo maisha mabaya wanayoishi watu. Pia tuwekee hapa ni kwa namna gani kiongozi anawatesa watu.

Pia kumbuka hakuna mtu aliyekatazwa kuwa tajiri. Ufukara wa watu ni kutokana na lifestyle yao mkuu, hakuna kiongozi atakuja awe anagawa pesa kwa watu ili kuwakwamua kiuchumi. Kama mnategemea hicho sahauni, hata mitume wakishuka hawataweza kuwaridhisha.

Mara nyingine watu kama nyie ndio mnapalilia umaskini hapa nchini kwa kuamini na kuhubiri kuwa umaskini unasababishwa na serikali. Tumieni raslimali na nguvu zenu kujikwamua, msingoje serikali iwawekee mabomba ya maziwa na asali.

Hujui kuwa maamuzi mabovu ya kiongozi,na kutofuata sera pamoja na ukiukwaji wa katiba ndio umaskini wa mtu?
 
Basi ni kweli wewe ni mpiga zumari wa mfalme kama hujui kinacho endelea mitaani, makazini hata vyuoni! Na kwa taarifa yako hata wale wa mabaka mabaka nao wanalalamikia hali mbaya sana hasa baada ya kufutiwa yale maduka yao yenye nafuu

Huyu jamaa anajikaza lakini rohoni anajijua mwenyewe. Je ndugu zake wanajua kutafuta hiyo pesa? Au ndiyo wale ndiyo mzee. Hapo alipo inawezekana yupo hoi lakini ni wale wa kujigamba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom