jimmymziray
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 816
- 515
Serikali ya awamu ya 5 kwa maono yangu ndio serikali pekee kupingwa si tu na wapinzani, bali hata baadhi ccm wenyewe, imekuwa serikali ya matukio, kila kukicha inacheza na medias, na kila mpingaji anaitwa fisadi, si mzalendo, eti wanaopinga ni wale wazee wa madili, dah, tupo sie ambao toka tumeanza biashara hatujawahi kuacha kulipa kodi kwa wakati,
ila Kiukweli hali ya maisha ni mbaya sana huku, yani mpk wale kuku wa mayai siku hizi hawatagi tena, mashambani ndio kabisa, tuliozoea kuvuna gunia 50 sasa hivi ni gunia 10 tuu, hv huyu aliyeshushwa ni malaika au and vice verse is true?yani hata wale dada poa hapo kabla walijiuza mpk kwa 50k ila walikuwa wapo kibao, siku hizi wameshusha bei mpk 5k ila kuwapata nao ni tabu
ila Kiukweli hali ya maisha ni mbaya sana huku, yani mpk wale kuku wa mayai siku hizi hawatagi tena, mashambani ndio kabisa, tuliozoea kuvuna gunia 50 sasa hivi ni gunia 10 tuu, hv huyu aliyeshushwa ni malaika au and vice verse is true?yani hata wale dada poa hapo kabla walijiuza mpk kwa 50k ila walikuwa wapo kibao, siku hizi wameshusha bei mpk 5k ila kuwapata nao ni tabu