Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mjomba?? Your left shabby foot! Nakuuliza :Hivi ukifanya mapenzi na moto huku haujanyoa nywele za mapajani unategemea nini? Masusu wee!Eti pambana! Tu-lugha twa majuha wa vijiwe vya karata mpelekee hawara yako!Wewe ndio hopeless mjomba. Pambana na hali yako, acha Mheshimiwa Rais ainyooshe Nchi. Kama huoni la maana linalofanyika ruksa kuhama Nchi, ondoka tuachie Nchi yetu, mkimbizi wewe.
Ha ha haa.Kunguru muoga huficha mbawa zake.Nyie CHADEMA mnafanya nini zaidi ya kulia lia kwenye keyboard? Haki aiombwi inapiganiwa so do somethingBila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .