thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Wakiamini msoga ataruhusu mianya?MKUU HUWEZI KUJUA UBORA AU UDHAIFU WA KITU KAMA UNACHO KIMOJA.
NA UHAKIKA WA 100% LEO MSOGA APAMBANISHWE NA CHATU KWENYE UCHAGUZI HATA WAIMBA MAPAMBIO WALIOPO HAPA JUKWAANI WATAMUUNGA MKONO MSOGA.
Akiba hulea akina HitlerHuu ujasiri mnautoa wapi? Wekeni na akiba ya maneno, mweee.
Hapo Ndo nashindwa kuwaelewa wanasiasa. Tuliaminishwa kikwete dhaifu kuliko mtu yeyote tz leo hii tunaambiwa kuna mtu dhaifu mara saba yake. Naenda zimbabwe
Mchukie mama yako, acha ujinga huo mbuzi weweHapa Duniani namchukia sana Lisu
Hapa Duniani namchukia sana Lisu
Mjinga mwenyewe Na ukoo wako wa nyumbuMchukie mama yako, acha ujinga huo mbuzi wewe
Mad!Mjinga mwenyewe Na ukoo wako wa nyumbu
JuhaMad!
MKUU KUNA TOFAUTI KUBWA SANA KATI YA MJINGA NA MPUMBAVU.uko sahihi mkuu maana hapa duniani kna watu mana tabia ya kuchukia vitu vizuri. tangu lini mjinga akampenda mwenye akili
Na wewe ukaulizwa umetapika nini hiki si ajabu ukajibu ni kwa sababu JPM ni mzalendo, hapo ndipo utaelewa akili ndogo ilivyo sumuHivi ukiulizwa msingi wa hii pumba yako sio ajabu ukajibu ni kuzuia maandamano na bunge live hapo ndio huwa nawakubali Nyumbu kwenye ufahamu.
MKUU MSOGA ANAJIELEWA SANAWakiamini msoga ataruhusu mianya?
Kwenye mada hiyo kipi siyo kweli? Au ndo ukichwa maji tu. Kama uko vizuri upstairs sema point hata moja ambayo siyo kweli hapa hapaHapo Ndo nashindwa kuwaelewa wanasiasa. Tuliaminishwa kikwete dhaifu kuliko mtu yeyote tz leo hii tunaambiwa kuna mtu dhaifu mara saba yake. Naenda zimbabwe
Acha kukurupuka. Sijasema km ni kweli au ni uongo. Nimesema siwaelewi wanasiasa mana wanakuja na kauli za kuaminisha watu jambo Halaf Baadae wanalikana jambo hilohilo. Usichoelewa nini hapo?? MoronKwenye mada hiyo kipi siyo kweli? Au ndo ukichwa maji tu. Kama uko vizuri upstairs sema point hata moja ambayo siyo kweli hapa hapa