Haya mambo yalianza kama rashasha hayawi hayawi sasa yamekua siku zinasonga,
Ni matokeo mengi mnoo tumeona,,,,
Watu kubomolewa nyumba
Mauaji
Miili kuokotwa ovyo
Uonevu
Kesi za kubambikiziwa
Ukandamizaji wa demokrasia
Wanasiasa kumiminiwa risasi
Utekaji usiokwisha
Watu wasiojulikana
Ubaguzi na ukanda
Uchaguzi usio huru
Hakika mungu ni mwema mnooo faraja inakuja the freedom is coming tommorow
,
Naandika huku machozi yanitoka no no we can do something
Tunaweza! yeah hakika nguvu ya umma ni zaidi ya makombora ya balistic au makombora ya atomic
Faraja na ukombozi unakuja ndugu hali ni mbaya uchumi umeuawawa, katiba inanajisiwa, hakuna ajira, uchumi umeporomoka mpaka huruma
,
This is too much hayo yote hayavumiliki
Asante mungu kwa hii fikra na mawazo ya kimabadiliko na kifikra ya watanzania
Nashukuru mungu watanzania wameamka na kumuona adui yao
The freedom is coming tommorow time will tell
,
Futeni machozi mshukuruni mungu ukombozi unakuja mungu hamtupi mja wake na hatotutupa watanzania