Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Acha liporomoke, tutaugulia vilio kutokana na vifo, na kuuguza majeruhi
 
Dereva kalewa madaraka! Sawa hiyooo!!! Haaata hiyo si sawa dereva wacha vituko!!!
 
Hili gari nyuma limeandikwa Piiipoooooooooooz...
 
Hii gari mwenendo wake sio, sasa huyu dereva sijui kanywa viroba?
 
Fanya kazi mkuu achana na mawazo yaliyo juu ya uwezo wako yata kugharimu
 
Hata sielewi huwa mnamaanisha nini mnapoongelea "kuliko wakati mwingine wowote" wakati una miaka 20 duniani,siyo mtafiti kwa njia yoyote ile ya kujisomea au kusikiliza!!!
Watoto wa siku hizi mtakufa mapema sana...hamkufunzwa kuyapisha maji yakija na nguvu?basi yatakupitieni tu,yawatupe korongoni.
 
Nimeenda benki juzi,Hii benki ilikuwa hadi kero sikuz a nyuma kwani wateja walikuwa wakijazana sana,juzi limekwenda kwenye hiyo benki mteja ni mimi peke yangu,hatari😀😀
 
Watanzania lini mtatulia muwazie mema kwa serikali na viongozi wake? Imezidi na imetosha, tulieni fanyeni mambo mengine. Hii kosoakosoa haitupeleki popote
 
Waacheni waandamane eeeh, ccm mbele kwa mbeleeee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…