Bila shaka umo ndotoni unaweweseka, haieleweki ulitaka kuandika nini.
Tathmin yangu tu au wewe ni mjaluo ynahofu na kabila lako kuliko faida ya nchi yakoSijasoma hadi mwisho..
Lakini hata mimi simuelewi huyu mzee
yani akili zote za watanzania eti tunashindwa kumwelewa mpaka tueleweshwe na watu kama jinga lao barbarosa ofisa n.k? hiki kitukoJPM kachemka mnajitahidi kumtetea kwa kusema watanzania hatumuelewi JPM ana nia nzuri. Yani miaka miwili haeleweki kitu anafanya zaidi ya vijembe na kukurupuka.
Baada ya mwaka mmoja na nusu mbele mtakosa cha kumtetea.
Hivi ukiulizwa mbowe ameleta athari gani kwa wananchi Wa Tanzania hadi unamfanya kuwa public enemy?. Sababu ni kuwa upinzani?. Je unadhani upinzani usipokuwepo ndio afya zitaimarika, maji, elimu na kazi?. Fikiria kwa making, watu hawamuoni mbowe wanatazama aliyeapishwa. Kwa hiyo msijifiche kwenye kivuli.Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!