Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Naomba kujua kuhusu kinana wanajamvi sikuwepo ktk jukwaa mda mrefu
 
Mimi ni mmoja wa wanachama wa chama ambacho mwenyekiti wetu ni Jiwe, jiwe anatuumiza sana mioyo yetu. Msione kila mahali tunamsifu Jiwe lakini kiukweli mngejua mioyo yetu inavyoumia msingesema kitu, mioyo yetu inaumia kuliko mwanachama wa chama chochote kile hapa nchini lakini tunamsifu ili tupate hata sh. elfu saba siku isogee.

Jiwe anaumiza kuanzia viongozi wenzie mpaka wanachama wa kawaida, Jiwe amezungukwa na wanafiki wanaomsifia hata akifanya maamuzi yasiyo na faida kwa chama. Jiwe ametuondolea waliokijenga chama na kubaki na wasiojua chochote kuhusu chama ila kwakuwa wanamsifu.

Jiwe ukimkosoa wapambe wanampelekea taarifa, akizipata bila kufikiri anakuadhibu kwa namna yoyote ile. Wakati mwingine hata kama hujamkosoa ila mpambe akikuchonganisha nae basi imekula kwako, anapenda sana kusikiliza story za vijiweni.

Jiwe tuonee huruma wanachama wenzio, Jiwe umewamaliza wao sasa umeanza na sisi wenzio tuliokuwa pamoja kipindi chote cha kampeni. Tulikwenda porini pamoja, tulikwenda shinyanga pamoja, tukaenda bagamoyo pamoja lakini tulienda mpaka Tanga pamoja leo hii Jiwe umenitenda.

Asanteni sana Jiwe
Aha ha! we mwigulu we we, pole sana kumbuka nawe ulivyowatendea wapinzani
 
Mimi ni mmoja wa wanachama wa chama ambacho mwenyekiti wetu ni Jiwe, jiwe anatuumiza sana mioyo yetu. Msione kila mahali tunamsifu Jiwe lakini kiukweli mngejua mioyo yetu inavyoumia msingesema kitu, mioyo yetu inaumia kuliko mwanachama wa chama chochote kile hapa nchini lakini tunamsifu ili tupate hata sh. elfu saba siku isogee.

Jiwe anaumiza kuanzia viongozi wenzie mpaka wanachama wa kawaida, Jiwe amezungukwa na wanafiki wanaomsifia hata akifanya maamuzi yasiyo na faida kwa chama. Jiwe ametuondolea waliokijenga chama na kubaki na wasiojua chochote kuhusu chama ila kwakuwa wanamsifu.

Jiwe ukimkosoa wapambe wanampelekea taarifa, akizipata bila kufikiri anakuadhibu kwa namna yoyote ile. Wakati mwingine hata kama hujamkosoa ila mpambe akikuchonganisha nae basi imekula kwako, anapenda sana kusikiliza story za vijiweni.

Jiwe tuonee huruma wanachama wenzio, Jiwe umewamaliza wao sasa umeanza na sisi wenzio tuliokuwa pamoja kipindi chote cha kampeni. Tulikwenda porini pamoja, tulikwenda shinyanga pamoja, tukaenda bagamoyo pamoja lakini tulienda mpaka Tanga pamoja leo hii Jiwe umenitenda.

Asanteni sana Jiwe
Anawatesa namna gani? Nimesoma maelezo yako yote sijaona ulipoandika anawatesa namna gani. Au ni kati ya wale waliokuwa wamezoea vya kunyonga sasa wamevikosa?
 
Tuendlee kunyooshwa, mim naamini 2020 anachaguliwa tena[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Mimi ni mmoja wa wanachama wa chama ambacho mwenyekiti wetu ni Jiwe, jiwe anatuumiza sana mioyo yetu. Msione kila mahali tunamsifu Jiwe lakini kiukweli mngejua mioyo yetu inavyoumia msingesema kitu, mioyo yetu inaumia kuliko mwanachama wa chama chochote kile hapa nchini lakini tunamsifu ili tupate hata sh. elfu saba siku isogee.

Jiwe anaumiza kuanzia viongozi wenzie mpaka wanachama wa kawaida, Jiwe amezungukwa na wanafiki wanaomsifia hata akifanya maamuzi yasiyo na faida kwa chama. Jiwe ametuondolea waliokijenga chama na kubaki na wasiojua chochote kuhusu chama ila kwakuwa wanamsifu.

Jiwe ukimkosoa wapambe wanampelekea taarifa, akizipata bila kufikiri anakuadhibu kwa namna yoyote ile. Wakati mwingine hata kama hujamkosoa ila mpambe akikuchonganisha nae basi imekula kwako, anapenda sana kusikiliza story za vijiweni.

Jiwe tuonee huruma wanachama wenzio, Jiwe umewamaliza wao sasa umeanza na sisi wenzio tuliokuwa pamoja kipindi chote cha kampeni. Tulikwenda porini pamoja, tulikwenda shinyanga pamoja, tukaenda bagamoyo pamoja lakini tulienda mpaka Tanga pamoja leo hii Jiwe umenitenda.

Asanteni sana Jiwe
Hata push-ups ulipiga kama ishara ya kumwunga mkono!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom