Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Tulikwenda porini pamoja, tulikwenda shinyanga pamoja, tukaenda bagamoyo pamoja lakini tulienda mpaka Tanga pamoja leo hii Jiwe umenitenda.

Unamaanisha nini mkuu na hii route.......?

Maana ni vigumu kutenganisha hiyo miji na ushirikina......!
 

IMG_0683.JPG
 
Jumapili njema jamani,
Watz inabidi tuzielewe jitihada za JPM,Amekuta mizigo na mafuta mengi inapita bandarini inakoenda haijulikani,kaanzisha EFD ili kuipa TRA ufanisi wa ushuru lakini pia kama ni mfanya biashara usiwanyonye watz wenzio kwa kuuza bila kodi,na pia kuingiza mizigo isiyolipiwa ushuru..Hapa kwenye EFD sisi ndio tunanunua nahatuchukui risiti,kwenye visima vya kuuza mafuta baadhi wameweka kopo kukinga risiti zisimwagike.
Amekomaa na matumizi ya vitambulisho vya Taifa ili tupate fursa zilizokuwa zimebanwa na raia wa kigeni haswa wakenya,Kwa mfano mererani wajaluo na wamsai wa kenya walikuwa wengi sana sasa hivi kuingia ni tabu kwao,wameanza kuondoka.sasa ni fursa kwetu tukazichukue zinazoachwa na hao wajaluo.
Uhamiaji na idara ya kazi,nao wamepunguza kuwabeba wahindi na wakenya sehemu nyingi kuna nafasi za kazi wakiwasubiria watu wao waje wapewe kazi lakini muda unavyokwenda watakata pumzi tuwatatuajiri wenyewe,tukikomaa hizo post wataajiriwa watanzania tu.Ni wakati wa WATZ tusimame kifua mbele na tuiunge juhudi za serikali yetu.
Sasa basi tuwataje wafanyakazi wageni na kazi wanazofanya ili idara ya kazi ikahakiki ukweli wa hivyo vibali.
tuunge pia wizi wa 1.5 Trillion. Tumuunge mwizi wa aina yake???
 
Mbona haya makonda hayaongei kwenye hotuba yake leo au serikali hii ajira imezipiga kapuni. Hata jk angetaka kununua ndege angeweza au kujenga stiglers angeweza ila alikuwa na huruma ya watu wapate maisha bora. Na maisha bora ni ajira inaongera consumption rate. Sasa hivi ajjira zoto ni za uongo na za majukwaani. Huyuhuyu makonda alitangaza ajira za kuhesabu magari watu wakapeleka aplications kibao pale tanroads lakini mpaka leo mwaka sasa hamna kinachoendelea. Ajira zilitangazwa za bomba la mafuta kutoka uganda mpaka tanga mwaka saaa hamna kinachoendelea nahisi hata aplication wameshachoma. Kila kitu ni uongo tu mwanzo mwisho na kufanya kazi kwa kujionesha kwenye vyombo vya habari. Mbona jk amefanya mengi hatukuona kila siku kelele kwenye maredio na akijisifu amejenga daraja la kigamboni, anaajiri kila mwaka na mengine mengi. Kweli huu utawala ni wa kishamba
 
Mbona haya makonda hayaongei kwenye hotuba yake leo au serikali hii ajira imezipiga kapuni. Hata jk angetaka kununua ndege angeweza au kujenga stiglers angeweza ila alikuwa na huruma ya watu wapate maisha bora. Na maisha bora ni ajira inaongera consumption rate. Sasa hivi ajjira zoto ni za uongo na za majukwaani. Huyuhuyu makonda alitangaza ajira za kuhesabu magari watu wakapeleka aplications kibao pale tanroads lakini mpaka leo mwaka sasa hamna kinachoendelea. Ajira zilitangazwa za bomba la mafuta kutoka uganda mpaka tanga mwaka saaa hamna kinachoendelea nahisi hata aplication wameshachoma. Kila kitu ni uongo tu mwanzo mwisho na kufanya kazi kwa kujionesha kwenye vyombo vya habari. Mbona jk amefanya mengi hatukuona kila siku kelele kwenye maredio na akijisifu amejenga daraja la kigamboni, anaajiri kila mwaka na mengine mengi. Kweli huu utawala ni wa kishamba


Sawa, hongera sana kwa kutambua mchango mkubwa wa CCM, usijali JK atahusika kwenye kuchagua mrithi wa Raisi Magufuli ambaye pia atakuwa CCM hivyo huenda ukampata JK mwingine na hali kurudia kama ilivyokuwa hapo awali kama ulivyoieleza chini ya CCM ya JK mambo yalikuwa bora kabisa kwa mujibu wa maneno yako, hivyo CCM itaendelea kwa maana inatoa viongozi bora kama JK!
 
Jamani asilimia kubwa ya watanzania tunaishi hapahapa kwa baba Jesca hali ya kiuchumi,,kisiasa kijamii tunaiona ilivyo... Kinachonishangazaa na kuniacha mdomo wazi Ni ,,,baadhii wanaona mambo yapo 100% sawaaa kabisa ( we are on the right track) na wengine wanaona tunapotea tuendako siko( Mimi Ni mmoja wao)... .Ni kweli hatuwezi kuwaza kwa namna moja lakini kwa asilimia kubwa matatizo yetu na changamoto zinazotukabili zinafanana!.... Hakuna maji safi 50+ ya Uhuru ,,Elimu bado duni, ,, mfumuko wa bei kila uchwao,, siasa chafuu,,, nyinyi mnaosema we are on the right truck mpo nchii hii kweli?../.
 
na wengine wanaona tunapotea tuendako siko( Mimi Ni mmoja wao)...
Ukiona dereva kakosea njia na abiria wako safi tu huenda wewe ndio umekosea badala ya la Turiani umekwea la Mwanza shuka next stop.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom