mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,617
Aaah, kumbe hachaguliwi?[emoji3]Atapitishwa tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah, kumbe hachaguliwi?[emoji3]Atapitishwa tena.
Mbona kama anafanana naoJiwe hawezi onea huruma wapumbafu walio ndani ya Chama
Tulikwenda porini pamoja, tulikwenda shinyanga pamoja, tukaenda bagamoyo pamoja lakini tulienda mpaka Tanga pamoja leo hii Jiwe umenitenda.
tuunge pia wizi wa 1.5 Trillion. Tumuunge mwizi wa aina yake???Jumapili njema jamani,
Watz inabidi tuzielewe jitihada za JPM,Amekuta mizigo na mafuta mengi inapita bandarini inakoenda haijulikani,kaanzisha EFD ili kuipa TRA ufanisi wa ushuru lakini pia kama ni mfanya biashara usiwanyonye watz wenzio kwa kuuza bila kodi,na pia kuingiza mizigo isiyolipiwa ushuru..Hapa kwenye EFD sisi ndio tunanunua nahatuchukui risiti,kwenye visima vya kuuza mafuta baadhi wameweka kopo kukinga risiti zisimwagike.
Amekomaa na matumizi ya vitambulisho vya Taifa ili tupate fursa zilizokuwa zimebanwa na raia wa kigeni haswa wakenya,Kwa mfano mererani wajaluo na wamsai wa kenya walikuwa wengi sana sasa hivi kuingia ni tabu kwao,wameanza kuondoka.sasa ni fursa kwetu tukazichukue zinazoachwa na hao wajaluo.
Uhamiaji na idara ya kazi,nao wamepunguza kuwabeba wahindi na wakenya sehemu nyingi kuna nafasi za kazi wakiwasubiria watu wao waje wapewe kazi lakini muda unavyokwenda watakata pumzi tuwatatuajiri wenyewe,tukikomaa hizo post wataajiriwa watanzania tu.Ni wakati wa WATZ tusimame kifua mbele na tuiunge juhudi za serikali yetu.
Sasa basi tuwataje wafanyakazi wageni na kazi wanazofanya ili idara ya kazi ikahakiki ukweli wa hivyo vibali.
Aiseee !!!!kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Hata nae anaweza asiamini,ajaingia 18 tu,puto lichezwalo juu ya miba halina garantii,ushirika wa wachawi si wa kudumu.Jiwe haangalii mtu usoni labda Bashite tuu
Mbona haya makonda hayaongei kwenye hotuba yake leo au serikali hii ajira imezipiga kapuni. Hata jk angetaka kununua ndege angeweza au kujenga stiglers angeweza ila alikuwa na huruma ya watu wapate maisha bora. Na maisha bora ni ajira inaongera consumption rate. Sasa hivi ajjira zoto ni za uongo na za majukwaani. Huyuhuyu makonda alitangaza ajira za kuhesabu magari watu wakapeleka aplications kibao pale tanroads lakini mpaka leo mwaka sasa hamna kinachoendelea. Ajira zilitangazwa za bomba la mafuta kutoka uganda mpaka tanga mwaka saaa hamna kinachoendelea nahisi hata aplication wameshachoma. Kila kitu ni uongo tu mwanzo mwisho na kufanya kazi kwa kujionesha kwenye vyombo vya habari. Mbona jk amefanya mengi hatukuona kila siku kelele kwenye maredio na akijisifu amejenga daraja la kigamboni, anaajiri kila mwaka na mengine mengi. Kweli huu utawala ni wa kishamba
Hii inaitwa kukata tamaa mkuuTupo mkuu kama kila mtu ana shida zake na mbaya zaidi unaweza kuomba mwenzio msaada kumbe na yeye anahitaji kusaidiwa zaidi yako sasa tufanyeje..
Ukiona dereva kakosea njia na abiria wako safi tu huenda wewe ndio umekosea badala ya la Turiani umekwea la Mwanza shuka next stop.na wengine wanaona tunapotea tuendako siko( Mimi Ni mmoja wao)...
Are you sure hakuna option nyingine mkuuUkiona dereva kakosea njia na abiria wako safi tu huenda wewe ndio umekosea badala ya la Turiani umekwea la Mwanza shuka next stop.