Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Sifa ya taahira ni kutohoji na kuchukulia kila kitu poa kwa vile tu tumbo lake linashiba na kuhara...
 
Wale waliokisoma kile kitabu cha ALFU LELA ULELA na KISA CHA MVUVI NA JINI, watanielewa.
Jini katoka kwenye chupa, na kuipiga teke chupa ndani ya bahari. Sasa, ni nani wa kulidhibiti hilo jini?
 
Fafanua neno " MILD..." kwa mukhtadha wa hali iliyopo sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hachukiwi kwa kuleta maendeleo, Bali anachukiwa kwa matendo yake maovu ya kuto jali haki za binadam na kuheshim democracy na kufuata sheria na katiba no more
 
We humjui shetani dogo.... Shetani ana nguvu sana na halalamikagi, anatenda. Kulalamika ni hulka ya kiumbe yeyote dhaifu, wewe na mimi tukiwemo.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu, hukujibu moja kwa moja hoja ya mtoa mada. yeye hajasema udukteta bali kwa kauli yake anakwenda mbio anakojua yeye na kuwa hali si nzuri!
Sasa, je ni kweli anakoenda anajua yeye tu na ni kweli hali sio nzuri? Je, Kikwete ana nafasi ya katika hali hiyo?
Sijajua kama kwenda mbio ndo u mild dictatorship!.
Sijajua mwandishi amelenga nn kusema zaidi hali ni ngumu je. ni demokrasia, uchumi, ajira au nini hasa. pengine ni kupanda kwa bei ya vifaa vya ujenzi kama saruji! figures and facts zinaonyesha inflaation kupungu laabda tusubiri taakwimu za mwisho wa mwezijhhh
 
Kunywa sumu ufe utakuwa umejiokoa na shida za duniani hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchapana kuone kwenye video au kwenye magazeti. Live lishudia kilichowapata wana kagera vita ya 1978_79 .lakini pia vita RENAMO .fikiri kwanza
 
Wananchi ndio kwanza tunaipenda hiyo ccm. We baki na kelele zako huku watu wanajitambua. Kura ya nini huku kesho unarudi na kumuunga mkono uliye mkataa??
Acha kelele kwenye keyboard ingia ulingoni basi kama yule Wine wa majirani zetu tukusikie
Dio mnaipenda, sema unaipenda!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitume fanya kazi acha kulalamika unataka maisha mepesi? Subiri baba yako akiwa Rais utaletewa kila kitu nyumbani. Unamuhusisha Rais Kikwete na uvivu wako wa fikra? Wenzio tunaponda kokoto na maisha yanaenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…