Rubbishraisi wetu yupo vizur sana ,anayoyafanya nikwaajili ya Watanzania wahali ya chini ,hivyo wale waliozoea kupiga madili kama ww huwezi muongelea vizuri CCM mbele kwa mbele
Watanzania wenye hali ya juu rais wao ni nani?raisi wetu yupo vizur sana ,anayoyafanya nikwaajili ya Watanzania wahali ya chini ,hivyo wale waliozoea kupiga madili kama ww huwezi muongelea vizuri CCM mbele kwa mbele
Nyie wa jalalani huwa hamuelewi hata mkitoa macho kama VW bittle.
Aunge mkono mafii yako?wewe jamaa bado tu hujaunga mkono juhudi
Andiko la kikakamavu sana ! yaani umempa makavu matupu waziwazi ! hakika jf ni kiboko ! unajua nilikuwa sijaona uzi huu mpaka nilipopigiwa simu na Waziri mmoja mstaafu akiniomba niangalie jf kuna uzi wa Salary Slip kuhusu kumpa makavu mtuMzee,najua kama unapita mitandaoni na kusoma maoni ya watu,basi unaweza kuona umefanikiwa sana kuwafanya watu wakuogope, ila jua tu unajidanganya kwani binadamu yoyote ana ukomo wa uvumilivu na wewe hutakuwa wa kwanza.
Elewa tu hata wasaidizi wako ambao sasa wanashambuliwa mitandaoni watakuwa wanaumia na kujisikia vibaya na usishangae baadhi yao wakafikia ukomo na kuamua liwalo na liwe na wakawa wa kwanza kukuanika hata kwa kuwatumia watu wengine.
Hali inayoendelea sasa unatakiwa kuichukua kwa tahadhari na si kwa kuipuza hata kidogo.
Kumbuka,ukiharibikiwa,baadhi ya wanaokuzunguka na kukusifu ndio watakuwa wa kwanza kukukana na hata kukudhihaki.
Watu kama sisi kwa sasa tunaweza kuwa wa hovyo kwako, ila tambua kuna siku unaweza kuja kutuona tulikuwa wa maana kuliko waliochagua kukaa kimya na wale waliochagua kusifu kwa asilimia mia moja ingawa wanajua na wewe ni binadamu unaeweza/unaefanya makosa.
Badilika before it is too late.
Hahahaaa!!Kamanda umenifurahisha lakini pia nakushukuru.Andiko la kikakamavu sana ! yaani umempa makavu matupu waziwazi ! hakika jf ni kiboko ! unajua nilikuwa sijaona uzi huu mpaka nilipopigiwa simu na Waziri mmoja mstaafu akiniomba niangalie jf kuna uzi wa Salary Slip kuhusu kumpa makavu mtu
Mkuu nilichokitambua leo ni kwamba JF ni kubwa sana ! kuna wazee wengi wastaafu wanapitaHahahaaa!!Kamanda umenifurahisha lakini pia nakushukuru.
Ndio maana wameanza kumuandama Melo.Mkuu nilichokitambua leo ni kwamba JF ni kubwa sana ! kuna wazee wengi wastaafu wanapita
Yaweza kuwa kweli kwa vile tukisema Time Hutu hatusikiwi mpaka tuombe msaada wa kusemea na WB au EU kisha tunaambiwa sio wazalendo.Mkuu 2020 kesho tu. Mtakuja tena na maneno haya haya hadi 2025 mtakapowekewa chuma kingine tena,.
Hamjielewi. Yaani sijui mtajifunza lini?