Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kuna kitu kimekosekana kwenye thread yako
Sitaki kukitaja lakini wanaofuatia kukomenti watakisema kitakusaidia kufikia lengo la uzi huu
Asante
Namba ya simu, anwani ya barua pepe, yaani location ujumla ili mwenyekiti wa chama wa mkoa apewe jukumu la kufuatilia CV ya mleta uzi
🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️
 
Me nasema anatufaa. Maana ana program nzuri sana ya kuwachukua watetezi wa raia na wasema ukweli na kuwapeleka sehemu nzuri wakale bata.
 
Hali imekuwa tete upande wa pili wa shilingi, Rais John Pombe Magufuli atufai, anatupeleka kubaya, hafuati katiba na makelele mengine mengi.
Inazidi kutia shaka hasa kakundi ambako kiukweli kanaonyesha kulia kwa maumivu makali yasiyo vumilika (yaani ubatizo wa moto).
Ni kama wamebanwa katika vaisi hata wameanza kukosa pumzi, shamba la bibi limegeuka kuwa shamba la mama.
Wote tumewekwa katika mstari mabeberu na vibaraka tunawasika, wanalia. Walianza vibaraka sasa tunawasikia mabwana wenyewe ujue sinadano zimeingia mahala pake.

Jamani huu ndiyo ubatizo wa moto kama ule wa petrol, na kwa taarifa kila goti litapigwa, kila jicho litaona na kila sikio litasikia yakuwa shamba la bibi limerudishwa kwa mama mwenye watoto wake.

Kilakitu kinachofaa na kisichofaa kinasababu zake za kufaa na kuto kufaa. Sasa tuangalia Mzee Baba Mbatizaji kwa Moto kwanini hatufai.
Magu hatufai kwa haya:-
  1. Kuleta mradi mkubwa wa umeme wa Stigilazii Goji (mega watt 2100)
  2. Elimu bure
  3. Flayaova
  4. Ujenzi wa mabarabara nchi nzima, hili ni mbaya zaidi.
  5. Kurudisha nidhamu kazini.
  6. Vita harisi ya mafisa. Hili pia ndiyo hatufai kabisa.
  7. Wafanya biashara wadogo kusaidiwa
  8. Kurudisha huduma za afya.
  9. Kuzuia madawa ya kulevya kuwafikia watoto wetu.
  10. Kudhibiti utoroshwaji wa madini, hili kwa mabeberu ndiyo hatufai kabisa.
  11. Madawati nchi nzima watoto wasikae chini.
  12. Kubadilisha nchi kuwa ya viwanda
  13. ujenzi wa Treni ya umeme Dar mpaka Dom.
  14. Kununua ndege.
  15. Kuondoa vyeti feki.
  16. Kukomaa hadi kuhakikisha mradi mkubwa wa bomba la mafuta unapita Bongo na si kenya.
  17. Kuletwa kwa sera ya Utumbuaji.
  18. Ujenzi wa meli mpya kubwa katika ziwa Vikitoria, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
  19. Utekelezaji wa mradi wa UMEME vijijini nchi nzima
  20. Kuwabana wapigaji.
  21. Serikari kuamia Dodoma
  22. Kuzuia safari za nje

Haya ndiyo yanayosababisha Dr. Pombe hasitufae kuwa kiongozi katika nchi hii. Mimi nasema kama sababu ni hizi atafia ofisini labda kuwe na sababu mbadala.
Trillion 4.7 hazina maelezo
 
Hapo kuongeza uzalishaji zero, alafu mnafikiri hayo pekee ndio yatabadili maisha ya watanzania!!

Baada ya miaka michache ijayo, mtaanza kufanana na waethiopia wanaokimbia nchi yao kutokana na ugumu wa maisha.
 
Samahani bro, naomba uondoe namba 15 haina mashiko tena kwa sasa (Hata mwenyewe alishasema anaangalia utendaji wa mtu haangalii vyeti) alafu samahani lakini, hivi namba 6 umemaanisha nini mkuu? Samahani lakini
 
Siku siri za kutupwa watu wazima kwenye pango la chatu wapotelee tumboni mwake zitakapo wekwa hadharani ndio watu watafumbuka macho kuwa kosa la 2015 ni kosa kubwa kuliko yote tulitenda katika karne hii
 
Wapo waliofurahi baadae wakachukia, wapo waliochukia baadae wakafurahi. Atakae kua kundi lolote hapo ajiulize akili yake amemwachia nani.
 
Hali imekuwa tete upande wa pili wa shilingi, Rais John Pombe Magufuli atufai, anatupeleka kubaya, hafuati katiba na makelele mengine mengi.
Inazidi kutia shaka hasa kakundi ambako kiukweli kanaonyesha kulia kwa maumivu makali yasiyo vumilika (yaani ubatizo wa moto).
Ni kama wamebanwa katika vaisi hata wameanza kukosa pumzi, shamba la bibi limegeuka kuwa shamba la mama.
Wote tumewekwa katika mstari mabeberu na vibaraka tunawasika, wanalia. Walianza vibaraka sasa tunawasikia mabwana wenyewe ujue sinadano zimeingia mahala pake.

Jamani huu ndiyo ubatizo wa moto kama ule wa petrol, na kwa taarifa kila goti litapigwa, kila jicho litaona na kila sikio litasikia yakuwa shamba la bibi limerudishwa kwa mama mwenye watoto wake.

Kilakitu kinachofaa na kisichofaa kinasababu zake za kufaa na kuto kufaa. Sasa tuangalia Mzee Baba Mbatizaji kwa Moto kwanini hatufai.
Magu hatufai kwa haya:-
  1. Kuleta mradi mkubwa wa umeme wa Stigilazii Goji (mega watt 2100)
  2. Elimu bure
  3. Flayaova
  4. Ujenzi wa mabarabara nchi nzima, hili ni mbaya zaidi.
  5. Kurudisha nidhamu kazini.
  6. Vita harisi ya mafisa. Hili pia ndiyo hatufai kabisa.
  7. Wafanya biashara wadogo kusaidiwa
  8. Kurudisha huduma za afya.
  9. Kuzuia madawa ya kulevya kuwafikia watoto wetu.
  10. Kudhibiti utoroshwaji wa madini, hili kwa mabeberu ndiyo hatufai kabisa.
  11. Madawati nchi nzima watoto wasikae chini.
  12. Kubadilisha nchi kuwa ya viwanda
  13. ujenzi wa Treni ya umeme Dar mpaka Dom.
  14. Kununua ndege.
  15. Kuondoa vyeti feki.
  16. Kukomaa hadi kuhakikisha mradi mkubwa wa bomba la mafuta unapita Bongo na si kenya.
  17. Kuletwa kwa sera ya Utumbuaji.
  18. Ujenzi wa meli mpya kubwa katika ziwa Vikitoria, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
  19. Utekelezaji wa mradi wa UMEME vijijini nchi nzima
  20. Kuwabana wapigaji.
  21. Serikari kuamia Dodoma
  22. Kuzuia safari za nje

Haya ndiyo yanayosababisha Dr. Pombe hasitufae kuwa kiongozi katika nchi hii. Mimi nasema kama sababu ni hizi atafia ofisini labda kuwe na sababu mbadala.


WEWE UMETUMWA NA MABEBERU tena MABEBERU ya mbuzi.🤣🤣
 
Uzi unaishi dereva uchwara, ameifikisha nchi kabulini bado kufukiwa tu kuwasha mishumaa kuiagaTanzania buriani.
 
Hali imekuwa tete upande wa pili wa shilingi, Rais John Pombe Magufuli atufai, anatupeleka kubaya, hafuati katiba na makelele mengine mengi.
Inazidi kutia shaka hasa kakundi ambako kiukweli kanaonyesha kulia kwa maumivu makali yasiyo vumilika (yaani ubatizo wa moto).
Ni kama wamebanwa katika vaisi hata wameanza kukosa pumzi, shamba la bibi limegeuka kuwa shamba la mama.
Wote tumewekwa katika mstari mabeberu na vibaraka tunawasika, wanalia. Walianza vibaraka sasa tunawasikia mabwana wenyewe ujue sinadano zimeingia mahala pake.

Jamani huu ndiyo ubatizo wa moto kama ule wa petrol, na kwa taarifa kila goti litapigwa, kila jicho litaona na kila sikio litasikia yakuwa shamba la bibi limerudishwa kwa mama mwenye watoto wake.

Kilakitu kinachofaa na kisichofaa kinasababu zake za kufaa na kuto kufaa. Sasa tuangalia Mzee Baba Mbatizaji kwa Moto kwanini hatufai.
Magu hatufai kwa haya:-
  1. Kuleta mradi mkubwa wa umeme wa Stigilazii Goji (mega watt 2100)
  2. Elimu bure
  3. Flayaova
  4. Ujenzi wa mabarabara nchi nzima, hili ni mbaya zaidi.
  5. Kurudisha nidhamu kazini.
  6. Vita harisi ya mafisa. Hili pia ndiyo hatufai kabisa.
  7. Wafanya biashara wadogo kusaidiwa
  8. Kurudisha huduma za afya.
  9. Kuzuia madawa ya kulevya kuwafikia watoto wetu.
  10. Kudhibiti utoroshwaji wa madini, hili kwa mabeberu ndiyo hatufai kabisa.
  11. Madawati nchi nzima watoto wasikae chini.
  12. Kubadilisha nchi kuwa ya viwanda
  13. ujenzi wa Treni ya umeme Dar mpaka Dom.
  14. Kununua ndege.
  15. Kuondoa vyeti feki.
  16. Kukomaa hadi kuhakikisha mradi mkubwa wa bomba la mafuta unapita Bongo na si kenya.
  17. Kuletwa kwa sera ya Utumbuaji.
  18. Ujenzi wa meli mpya kubwa katika ziwa Vikitoria, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.
  19. Utekelezaji wa mradi wa UMEME vijijini nchi nzima
  20. Kuwabana wapigaji.
  21. Serikari kuamia Dodoma
  22. Kuzuia safari za nje

Haya ndiyo yanayosababisha Dr. Pombe hasitufae kuwa kiongozi katika nchi hii. Mimi nasema kama sababu ni hizi atafia ofisini labda kuwe na sababu mbadala.
Ameshaondoa vyeti feki vya bashite?
 
Anatupeleka jehenamu, ameshatufikisha katikati ya ziwa la moto sijui atafanyaje jiniasi wa kila kitu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom