Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kuna kitu kimekosekana kwenye thread yako
Sitaki kukitaja lakini wanaofuatia kukomenti watakisema kitakusaidia kufikia lengo la uzi huu
Asante
Namba ya simu, anwani ya barua pepe, yaani location ujumla ili mwenyekiti wa chama wa mkoa apewe jukumu la kufuatilia CV ya mleta uzi
πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ
 
Me nasema anatufaa. Maana ana program nzuri sana ya kuwachukua watetezi wa raia na wasema ukweli na kuwapeleka sehemu nzuri wakale bata.
 
Trillion 4.7 hazina maelezo
 
Hapo kuongeza uzalishaji zero, alafu mnafikiri hayo pekee ndio yatabadili maisha ya watanzania!!

Baada ya miaka michache ijayo, mtaanza kufanana na waethiopia wanaokimbia nchi yao kutokana na ugumu wa maisha.
 
Samahani bro, naomba uondoe namba 15 haina mashiko tena kwa sasa (Hata mwenyewe alishasema anaangalia utendaji wa mtu haangalii vyeti) alafu samahani lakini, hivi namba 6 umemaanisha nini mkuu? Samahani lakini
 
Siku siri za kutupwa watu wazima kwenye pango la chatu wapotelee tumboni mwake zitakapo wekwa hadharani ndio watu watafumbuka macho kuwa kosa la 2015 ni kosa kubwa kuliko yote tulitenda katika karne hii
 
Wapo waliofurahi baadae wakachukia, wapo waliochukia baadae wakafurahi. Atakae kua kundi lolote hapo ajiulize akili yake amemwachia nani.
 


WEWE UMETUMWA NA MABEBERU tena MABEBERU ya mbuzi.🀣🀣
 
Uzi unaishi dereva uchwara, ameifikisha nchi kabulini bado kufukiwa tu kuwasha mishumaa kuiagaTanzania buriani.
 
Ameshaondoa vyeti feki vya bashite?
 
Anatupeleka jehenamu, ameshatufikisha katikati ya ziwa la moto sijui atafanyaje jiniasi wa kila kitu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…