Umedandia gari naona, shuka tu sisi tunaendelea na safari.
Sio hatuweze kupotea, km taifa tumeshapotea fumbua macho na kichwa tafakari, tupo porini nyikani tumepoteana huu ndo ukweli mchungukama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Atafanya yoote huku Bara,kule kwa Wanaume Zanzibar hathabutu,Wala Nia ya kuthubutu Hana..na hawezi kuwa nayo.1
Mimi nadhani Raisi Magufuli anatupeleka kwenye utawla wa KIIMLA ,maamuzi yote ya nchi yanafanywa na mtu moja,au mtu yeyote atakayefanya afanye kama apendavyo Raisi hata kama anakosea.Ndo maana utaona wakuu wa wilaya,Mikoa na hata Makamishna wa polisi,wana fanya kazi kama mkuu wao anavyofanya,kutumbua bila ya kuchunguza kwa kina chanzo cha kasoro zilizopo.
2
Nadhani kisiasa anauwa mfumo wa vyama vingi kimtindo ili uwepo wake usiwe na athari yoyote dhidi ya utawala wake.
3
Kuna uwezekano wa kutekeleza uwepo wa serikali moja,kwani akifanikiwa kulimiliki bunge 100% bila ya mpinzani,na Hao CCM wenyewe watakuwa ni wale tuu waliokubali matakwa yake kabla ya kuteuliwa kugombea,hapo ataianza kazi ya kuifuta serikali ya zanzibar kwa kuondoa kifungu fulani ndani ya katiba ya jamuhuri.Nia ikiwa ni kuimarisha Muungano atafuta vifungu :-(Katiba ya jamuhuri nyongeza ya pili orodha ya ii , kifungu No 5,6,7 na 8 ).Vifungu hivi huondolewa kwa 2/3 ya kila upande wa muungano kukubali ndo vitatolewa.Wale wote upande wa Zanzibar wanaoonekana kuwa kikwazo hawatopitishwa kamwe kwenye kura za maoni,ili atimize ndoto yake.
4
Akifanikiwa kuiondosha Serikali ya zanzibar 'automatically' serikali itakuwa moja tu ya jamuhuri na atamtafutia nafasi fulani raisi wa Zanzibar ili apate mlo hadi amalize muda wake.
AKIFANIKIWA HILO ATAPEWA SIFA KWA KUMALIZIA MFUPA ALOUACHA FISI BILA YA MIKIKI.
Baada ya hapo Tanzania itakuwa na Mfumo kama china,chama kimoja,Maendeleo kwa kasi,Ujamaa mbele kwa mbele.
Wewe ni mwendawazimu, yaani wakati population ya dunia inaongezeka kuwe na mkakati wa kuharibu kilimo then hao watu watakuja kula kwa mama yako?Tanzania was supposed to be the basket of food for Africa kama si dunia nzima na hivyo kuwafanya over 60 % ya watanzania wanaotegemea kilimo kuwa na maisha mazuri kwa kuuza mazao yao yaliyozalishwa kwenye hii ardhi bora kabisa aliyotupa muumba.ujinga na uroho wa madaraka wa watu wachache walioko ccm ndo sababu kubwa ya kuua kilimo ili hao 60%ya watanzania waendelee kuwa masikini then wakose elimu bora,exposure nk ili waendelee kuichagua ccm,otherwise nani mwenye akili,elimu na exposure anaweza kuipigia kula ccm au magufuli?Mkuu nakubali kwamba miundombini ya barabara nk.sio mizuri nchi nzima.Lakini kumbuka kwamba maendeleo ni hatua.Najua pia kwamba kuna kazi kubwa ya kufanya kwenye Kilimo.
Naomba nikutonye kwamba Kilimo kilianza kuharibiwa kwenye awamu ya kwanza.Nadhani unakumbuka utaifishwaji wa mashamba kwenye awamu ya kwanza.Ule ulikuwa mkakati wa kuharibu Kilimo.Kwa ujumla upo mkakati mkubwa wa kuharibu Kilimo,sio Tanzania tu,bali ni mkakati wa dunia nzima.Katika mkakati huu zinatumika mbinu nyingi,tena zingine za siri sana,ambazo Tanzania peke yake haiwezi kuzimudu.
Yapo kwa mfano mabadiliko ya hali ya hewa.Leo mkulima hajui lini apande mahindi,kwa sababu ya mabadiliko haya ya hali ya hewa. Maeneo mengi ambayo vuli kwa kawaida haikuwepo,msimu huu wa mazao vuli imerudi!!Huu ni mkakati wa kumchanganya mkulima kwa makusudi,ili asijue la kufanya,kwa hiyo asifanikiwe katika Kilimo.Kwa mtizamo finyu watu wanaweza kusema mabadiliko haya ni heri,lakini yana nia mbaya sana kwa wakulima.
Wapo wadudu wanaozalishwa kitaalamu ili wawe waharibifu zaidi au wasiweze kuuliwa na dawa kirahisi.Upo uzalishaji wa mazao ambayo yanaharibiwa na wadudu kirahisi.Utakumbuka kwamba mahindi ya zamani yalikuwa yanastahimili wadudu,kwa maana kwamba mbegu zake zilikuwa ngumu na kwa hiyo si rahisi kuharibiwa na wadudu.
Upo mkakati mkubwa wa kuhakikisha kwamba mbegu zetu za asili zinapotea,na tunaingiziwa mbegu za hovyo ambazo kama nilivyosema, zinashambuliwa na wadudu kirahisi.Upo mkakati wa mashirika makubwa kama IMF na World Bank kutupa ushauri mbovu,wakitushari tu-adopt miradi ambayo wao wanajua fika kwamba haina tija kwenye kuboresha Kilimo chetu, lakini sisi kwa ujinga wetu tunaikubali.Ndio maana pamoja na miaka mingi ya kuwa na miradi hiyo ya IMF na World Bank,kilimo chetu kinazidi kurudi nyuma.Jambo hili lilifanyika sana kwenye awamu za tatu na nne.
Mikakati ni mingi mkuu.Inawezekana wataalamu wetu hawajui mikakati hii au wanajua lakini wanashirikiana na wabaya wetu.Kwa hiyo usidhani mambo ni rahisi kama unavyodhani,mambo ni magumu sana.
Nimalizie kwa kusema,kwa kuwa mikakati ya kuharibu Kilimo ni ya kidunia, tunahitaji mikakati ya kidunia ili kuweza kukabiliana nayo.Niseme pia kwamba kwa sababu nilizotangulia kusema, tatizo sio Nyerere,Mzee Ruksa,Mkapa, Kikwete au Magufuli per se.,tatizo ni mchanganyiko wa mambo mengi,ukiwepo mfumo mbovu wa kidunia imposed on us.
wewe hujui lolote,kwani hapa kwetu hali ipoje? unajua ilivyotabu kwa mgeni kupata kibali cha kufanya kazi TzSiitetei Tanzania, ila hiyo Afrika Kusini unayoisifia kuwa na uhuru si huko ndiko wageni waafrika weusi huchezea mapanga, bora niishi kwenye shithole yangu kuliko kuishi nchi ya mazombi kama hao wa Afrika Kusini.
Huko hata ufanye lipi, ipo siku mtafurushwa.
Kweli usichokijua ni usiku wa giza.Na mtaingizwa mkenge sana kwa uvivu wenu wa kutopenda kujisomea na kukosa uwezo wa kutafakari mambo kwa kina.Yaani kweli unaona mambo kwenye kilimo yako sawa na hakuna kabisa a hidden hand!Sawa,kaeni hivyo hivyo na ujinga wenu.Mikakati yote hiyo tangu uhuru kilimo kinazidi kudorora na wala hamustuki,ovyoo.Wewe ni mwendawazimu, yaani wakati population ya dunia inaongezeka kuwe na mkakati wa kuharibu kilimo then hao watu watakuja kula kwa mama yako?Tanzania was supposed to be the basket of food for Africa kama si dunia nzima na hivyo kuwafanya over 60 % ya watanzania wanaotegemea kilimo kuwa na maisha mazuri kwa kuuza mazao yao yaliyozalishwa kwenye hii ardhi bora kabisa aliyotupa muumba.ujinga na uroho wa madaraka wa watu wachache walioko ccm ndo sababu kubwa ya kuua kilimo ili hao 60%ya watanzania waendelee kuwa masikini then wakose elimu bora,exposure nk ili waendelee kuichagua ccm,otherwise nani mwenye akili,elimu na exposure anaweza kuipigia kula ccm au magufuli?
unatafuta justification ya ujinga wenu?finger pointing haitawahi kumsaidia mtu yeyote nyie washamba wa madarakaKweli usichokijua ni usiku wa giza.Na mtaingizwa mkenge sana kwa uvivu wenu wa kutopenda kujisomea na kukosa uwezo wa kutafakari mambo kwa kina.Yaani kweli unaona mambo kwenye kilimo yako sawa na hakuna kabisa a hidden hand!Sawa,kaeni hivyo hivyo na ujinga wenu.Mikakati yote hiyo tangu uhuru kilimo kinazidi kudorora na wala hamustuki,ovyoo.
Wala sitafuti justification,huo ndio ukweli,na hata sisi katika hili tu wajinga.unatafuta justification ya ujinga wenu?finger pointing haitawahi kumsaidia mtu yeyote nyie washamba wa madaraka
Magufuli rais wa hovyo kuwa kutokea Tanzania, yaani yeye badala ya kupambana na umasikini,ujinga na maradhi ambazo ndo issue kubwa zinazotukabili watanzania wengi,yeye anapambana na Chadema? hopeless presidentVijana wake watakua wanajuaView attachment 1264968
Kwa hiyo kwako samehe saba wa sabiini haipo***** watajua wenyewe bora kufa kuliko kuishi
Pole sana.Sikupendi na sitokaa nika upenda uongozi Wa namba tano Kwa sababu ni hovyo kabisa Ndugu na jamaa zangu wana lala
Nyerere to quote him: "simpendi Idd Amin kwa vile ni muuaji"Sikupendi na sitokaa nika upenda uongozi Wa namba tano Kwa sababu ni hovyo kabisa Ndugu na jamaa zangu wana lala njaa biashara wamefeli kwajili yako naanzaje kujisifu Kwa uongozi wako ? Bora nife nitoeke duniani Ila siwezi kusifia manyakunyaku yako hata siku na moja kufa kwangu haichukui mwaka lakin hata ni kifa Leo ***** tutakutana huko huko na usiombe Mungu akanipa kaukilanja Wa msosi nitakulaza njaa ili nilipize ya duniani we Mzee ni kelo we we Mzee ni KELO
Anampunguzia upendo wa Mungu!Unampunguzia nini hata ukimchukia.