Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuCAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
Hati chafu ipo CCM hata wakurugenzi wote wa wilaya wenye hati chafu ni wanachama wa CCMCAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
Mzalendo wa nini? Mzalendo kuondoa CAG olijino kuweka CAG feki ndiyo uzalendo?Kutokana na wapinzani kuhamasisha Wananchi wasijiandikishe kwenye daftari la wapiga kura
Hali ni Mbaya huko mtaani Wananchi wanawakimbia sasa
Wengi wanasema bora tujichagulie Mzalendo Magufuli tu
Acha kuwasema wengine umechoka na nani? Ujinga wako binafsi usilazimishe kuwa ujinga wa wengi, kununua ndege kifisadi siyo sera ya upinzani utapeli upo CCM anza kuwakataa huko huko kwanza.Tumechoka siasa za uwongo za upinzani,
Walisema Nchi isiyomiliki usafiri wa anga ni sawa na Nchi iliyokufa kiuchumi leo wanasema Ndege za kazi gani!
Tuwakatae hawa matapeli wa siasa
Huyo aliyoondolewa alizaliwa na hiyo nafasi?Mzalendo wa nini? Mzalendo kuondoa CAG olijino kuweka CAG feki ndiyo uzalendo?
Mkuu nje ya mada kidogo, mimi nimecheka sana ID yako inavosomeka, samahani lakini😀😀😀Hati chafu ipo CCM hata wakurugenzi wote wa wilaya wenye hati chafu ni wanachama wa CCM
Umedandia gari naona, shuka tu sisi tunaendelea na safari.Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!