Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Hivi wewe ili upate buku 7, masharti uliyopewa ni lazima utaje CHADEMA kwenye kila post? Naona kama unateseka sana,.lakinin ndiyo hivyo mtumwa hana hiyari.Nyie chadema Wasaliti wa Nchi mtaona hasira zetu October
Bado mnatamba tena kuwa Rais dhaifu?Hivi wewe ili upate buku 7, masharti uliyopewa ni lazima utaje CHADEMA kwenye kila post? Naona kama unateseka sana,.lakinin ndiyo hivyo mtumwa hana hiyari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandamano? Thubutu! Hicho kipogo cha mbwa koko nani atakivumilia?Unashauri tufanyeje.
Mitandao ya kijamii imetuharibu. Tunakimbilia kulalamika basi. No action taken. Zaman watu walikuwa wanafikisha message zao kwa maandamano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni zaidi ya zwazwa!Sijui kama niko sahihi kuiweka na CCM au abaki mwenyekiti peke yake mtasahihisha wenyewe
Japo wengi hatuzijui sheria ila hatukuzoea kuona waziri anaapishwa kwenye makazi binafsi ya mtu
Japo mambo hubadilika hatukuzoea kuona Spika anapewa kiburi na Rais
Japo dunia inaenda kasi hatukuzoea kuona Rais anatoa kauli za kuchanganya wakati wa majanga
Japo kila mtu na tabia zake ila hatukuzoea kuona mtu akihamia CCM au akiwa mwana ccm anakuwa huru kufanya analolitaka
Bungeni sheria hazifuatwi,
Mahakamani mashauri ili kuamliwa yanasikiliziwa kwanza,
Watumishi wa umma hawana tena uwezo wa kunyanyua mdomo kudai haki zao
Mapolisi wanaamrishwa kufanya chochote na wakubwa zao,
Wapinzani wanajiongelesha ongelesha tu ila hawana wanachoweza kufanya,
Vyama vya wafanyakazi vinajiongelesha tu havina la kufanya,
Mawaziri wanajiongelesha tu hawana la kufanya wala la kushauri wapo kama bendera tu,
Spika wa bunge na hata Jaji nao wameshakuwa bendera
Kama sio kutuona mazwazwa ni nini?
Hebu niambieni kundi gani sasa hivi hata likifanyiwa uonevu gani linauwezo wa kujipigania na likashinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nayaita maajabu hayo ninayoendelea kuyasubiri yatokee safari hii.Hapa ndo tunapokwama na wao ndio wanapotuona hatuwezi kuwafanya chochote!
Kwamba watuache tupige kura kihalali, kura zihesabiwe kihalali, na mshindi atangazwe kihalali! Kuwaza hivi ndo kunatufelisha
Nchi nyingi zilizofanikiwa kubadili uongozi zilijipanga kwa kuweka plan B. Wabongo plan B yetu iko wapi?
Wanajua hatuna plan B ndiomaana wanafanya wanavyotaka wao wala sio sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema dawa ituingie, wewe kwani unaishi sayari ya Mars?Si mlisema Kikwete Rais dhaifu,subiri dawa iwaingie, nadhani adabu imerudi sasa
Kwani wewe huoni udhaifu wake ktk uongozi?Bado mnatamba tena kuwa Rais dhaifu?
umemsahau mwambe kaamia ccm lakini anaiwakilisha chadema pia spika bado mgeni bungeni ndio kwanza anajifunza kanuni acha liende tuuUmenikumbusha Selasini na Komu wapo Nccr mageuzi lakini bungeni wanaiwakilisha Chadema!
Bila shaka nalo hili wanamlaumu Magufuli!!!Umenikumbusha Selasini na Komu wapo Nccr mageuzi lakini bungeni wanaiwakilisha Chadema!
Kujiita hilo jina tu inaonesha ulivyokuwa mtumwa wa kuwatumikia wasiokutumaWewe ni zaidi ya zwazwa!