Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Wewe ni zaidi ya zwazwa!
 
Ndiyo maana nayaita maajabu hayo ninayoendelea kuyasubiri yatokee safari hii.

Nitayaona kuwa maajabu kwa sababu hata hao CCM hawajapata kutuvuruga kiasi cha walipotufikisha safari hii.

Mara nyingi wamekuwa wakitumia ujanja ujanja wa akina Kikwete, Makamba na wenzao...

Hawajawahi kutulazimisha kwa nguvu kama wanavyotuendesha sasa hivi.

Kwa hiyo nasubiri kuyaona maajabu haya ya Tanzania safari hii. Baada ya hapo, nitajua kwa hakika Tanzania yetu ni nchi ya kipekee sana.
 
Kuendelea kumjadili huyu Mzee ni matumizi ya hovyo ya ubongo.
 
Sasa hivi nadhani hata Mungu mwenyewe atakuwa anatushangaa!! Mimi naamini Mungu kachoka tunavyonyanyasika na ufedhuli wa "hugu gumchama", anatupitisha katika hii hali makusudi tuchukue hatua, lakini waaapi! Sasa atakuwa anafanya ulinganisho na kujiuliza "hivi ni taifa gani nililowahi kulipitisha kwenye utawala wa maudhi" wa kipimo cha WaTz na bado hawakuchukua hatua!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…