Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Usinitishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii kitu hata kama utajifungia ndani for 100% lakn bado kutakuwa na uwezekano wa kuipata ikiwa majority ni +, ebu fikilia upo home kwako unavuta hewa safi kumbe kuna kiswampa njia kapita karibu na home kwako kakohoa ama kapiga chafya na huyu kiswampa njia ni +. Lakin hajijui na haonyeshi dalili zozote zile.
Kama ukifutilia huu ugonjwa hapa nchini ilianza mugonjwa alisafiri hivi karibuni kwenye inchi ambazo zinamaambuki, tukaja mgonjwa hana history ya kusafiri. Na sasa tutakuja mgonjwa hana history ya kutoka ndan kwake.
Yeye anadai kuwa ni mwanasayansi mahiri na pia mwanasiasa mkubwa hivyo hahitaji ushauri wa mtu.Mwanasiasa ni mwanasayansi ni watu wawili tofauti. Sasa kwenye hili janga tutajua nani wa kuwasikiliza..
Bakiza akiba ya maneno,kuna wenzako kama wewe leo wanajilaumu sana.
Hehehe tunguli zitazuia hii kitu?
Oil mpya ipo kama mucas (kamasi kuwa na akili) inachukuliwa kidogo kwenye kijiti chenye pamba ni ngumu kujua hata unyevu wa papai na fenesiLakini kweli mtu anakupa oil ya gari nyeusi wewe unaipima tu hao watu wamahabara ni mbububu kabisa.......hapana JPM muongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha Selasini na Komu wapo Nccr mageuzi lakini bungeni wanaiwakilisha Chadema!Sijui kama niko sahihi kuiweka na CCM au abaki mwenyekiti peke yake mtasahihisha wenyewe
Japo wengi hatuzijui sheria ila hatukuzoea kuona waziri anaapishwa kwenye makazi binafsi ya mtu
Japo mambo hubadilika hatukuzoea kuona Spika anapewa kiburi na Rais
Japo dunia inaenda kasi hatukuzoea kuona Rais anatoa kauli za kuchanganya wakati wa majanga
Japo kila mtu na tabia zake ila hatukuzoea kuona mtu akihamia CCM au akiwa mwana ccm anakuwa huru kufanya analolitaka
Bungeni sheria hazifuatwi,
Mahakamani mashauri ili kuamliwa yanasikiliziwa kwanza,
Watumishi wa umma hawana tena uwezo wa kunyanyua mdomo kudai haki zao
Mapolisi wanaamrishwa kufanya chochote na wakubwa zao,
Wapinzani wanajiongelesha ongelesha tu ila hawana wanachoweza kufanya,
Vyama vya wafanyakazi vinajiongelesha tu havina la kufanya,
Mawaziri wanajiongelesha tu hawana la kufanya wala la kushauri wapo kama bendera tu,
Spika wa bunge na hata Jaji nao wameshakuwa bendera
Kama sio kutuona mazwazwa ni nini?
Hebu niambieni kundi gani sasa hivi hata likifanyiwa uonevu gani linauwezo wa kujipigania na likashinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mwingine alijitoa ila kalazimishwa arudi kwanza amalizie muda wake. Hii yote kwasababu wanajua watanzania hatuna cha kuwafanya wanafanya watakaloUmenikumbusha Selasini na Komu wapo Nccr mageuzi lakini bungeni wanaiwakilisha Chadema!