Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mods naomba muuache huu uzi

Wakati Corona imeingia Brazil raisi wao alikuwa na tambo kama za Jpm kuwa tutakufa siku moja tusitishwe, Brazil mambo yamekuwa magumu Raisi kawageuka anasema sasa yeye afanye nini

Ugonjwa ulivyoingia Dar Makonda alitoka akipaza sauti watu waache uwoga wapige kazi ugonjwa wenyewe kama mafua, lakini wakati akihojiwa na Clouds akasema watu wanapukutika, na sasa yupo kimya kama sio yeye

Russia Raisi wao Vladmir Puttin naye mwanzoni alisema Kwao Corona si ishu pamoja na lockdown ndani wa siku tatu tu russia ina wagonjwa wapya 14,000 hapo watu wapo ndani, na wana wagonjwa 140,000 kwa nchi nzima, Now Puttin kageuka anasema Watu wawe makini nchi ipo kwenye janga

Ndio hivyo hivyo kwa Raisi wetu ameshaleta mzaha mapema kwenye issue serious kama hii, Tena baada ya kuwasikiliza wataalam yeye anapambana nao ona hatari hiii, hapa tutegemee Bomu ambalo litalipuka or limeshaanza kulipuka, Watu wataambukizana kwa kasi ya 5G

Kosa alilolifanya ni kuwadharau wataalam wa Afya mwishowe watakata tamaa na wataona liwalo na liwe watakaa pembeni now ukienda kupima hata ukikutwa na Covid utaambiwa una UTI ili wamfurahishe mkubwa maana hataki kusikia idadi kubwa mwishowe utarudi nyumbani na kuambukiza wengine

Ishu ni kuwa JPM hataki kusikia habari za maambukizi kuongezeka wakati hakuchukua hatu zozote za kujilinda mapema, mambo yashaharibika now hata wataalam wake hawaamini, anaona wanadanganya, sasa anaingilia kazi yao

Kajifungia mkoani hata misibani haendi kwa uwoga lakini anawapa moyo watu waache uwoga, Sasa anaangalia zaidi mapato kuliko afya za walipa kodi, Miradi aliyoingia ni mikubwa so ni lazima aje na sound kupumbaza watu ili pesa itafutwe na ndio maana anapambana na ukweli na hataki taarifa za kweli zitolewe akiogopa makusanyo kushuka

Akili yake yote ipo kwenye makusanyo lakini mwisho wa siku hata hayo makusanyo hatayapata kama corona ikishika kasi, ni swala la muda tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wakati wa kumuapisha nchemba kamuweka mbali kabisa.
Ila jamaa anakohoa kohoa ..
 
Kila mtu ajilinde na ailinde familia yake, tujaribu kuiga hata mfano wa Rais basi! Yeye keshajifungia usisubiri akuambie jifungie
Mkuu hii kitu hata kama utajifungia ndani for 100% lakn bado kutakuwa na uwezekano wa kuipata ikiwa majority ni +, ebu fikilia upo home kwako unavuta hewa safi kumbe kuna kiswampa njia kapita karibu na home kwako kakohoa ama kapiga chafya na huyu kiswampa njia ni +. Lakin hajijui na haonyeshi dalili zozote zile.

Kama ukifutilia huu ugonjwa hapa nchini ilianza mugonjwa alisafiri hivi karibuni kwenye inchi ambazo zinamaambuki, tukaja mgonjwa hana history ya kusafiri. Na sasa tutakuja mgonjwa hana history ya kutoka ndan kwake.
 
Mods naomba muuache huu uzi

Wakati Corona imeingia Brazil raisi wao alikuwa na tambo kama za Jpm kuwa tutakufa siku moja tusitishwe, Brazil mambo yamekuwa magumu Raisi kawageuka anasema sasa yeye afanye nini

Ugonjwa ulivyoingia Dar Makonda alitoka akipaza sauti watu waache uwoga wapige kazi ugonjwa wenyewe kama mafua, lakini wakati akihojiwa na Clouds akasema watu wanapukutika, na sasa yupo kimya kama sio yeye

Russia Raisi wao Vladmir Puttin naye mwanzoni alisema Kwao Corona si ishu pamoja na lockdown ndani wa siku tatu tu russia ina wagonjwa wapya 14,000 hapo watu wapo ndani, na wana wagonjwa 140,000 kwa nchi nzima, Now Puttin kageuka anasema Watu wawe makini nchi ipo kwenye janga

Ndio hivyo hivyo kwa Raisi wetu ameshaleta mzaha mapema kwenye issue serious kama hii, Tena baada ya kuwasikiliza wataalam yeye anapambana nao ona hatari hiii, hapa tutegemee Bomu ambalo litalipuka or limeshaanza kulipuka, Watu wataambukizana kwa kasi ya 5G

Kosa alilolifanya ni kuwadharau wataalam wa Afya mwishowe watakata tamaa na wataona liwalo na liwe watakaa pembeni now ukienda kupima hata ukikutwa na Covid utaambiwa una UTI ili wamfurahishe mkubwa maana hataki kusikia idadi kubwa mwishowe utarudi nyumbani na kuambukiza wengine

Ishu ni kuwa JPM hataki kusikia habari za maambukizi kuongezeka wakati hakuchukua hatu zozote za kujilinda mapema, mambo yashaharibika now hata wataalam wake hawaamini, anaona wanadanganya, sasa anaingilia kazi yao

Kajifungia mkoani hata misibani haendi kwa uwoga lakini anawapa moyo watu waache uwoga, Sasa anaangalia zaidi mapato kuliko afya za walipa kodi, Miradi aliyoingia ni mikubwa so ni lazima aje na sound kupumbaza watu ili pesa itafutwe na ndio maana anapambana na ukweli na hataki taarifa za kweli zitolewe akiogopa makusanyo kushuka

Akili yake yote ipo kwenye makusanyo lakini mwisho wa siku hata hayo makusanyo hatayapata kama corona ikishika kasi, ni swala la muda tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye macho na aone. Na mwenye masikio na asikie. Nimekuelewa Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama Jabiri Hamza(Oil) ina #COVID-19 wewe unaiogopa nini sasa... Basi usile hata chakula coz kina hiyo nn cjui



Napenda kujifukiza
 
Alafu jamaa,alikuwa hajiamini ktk hotuba yake.kwa mfano neno'''yaweza kuwa, wataalamu hawako vizuri,au vifaa vya upimaji viko vile''' duh! Labda me sielewi jaman?.
 
Aisee yani mtu hasira zimempanda vileee!!Nimeshangaa sn kwa mtu ambaye Ni rais anakuwa na hasira kwa kiwango kile!!!!
Mungu wasaidie watanzania.


Arudi dar na dodomaa watanzania wanataka hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanasiasa ni mwanasayansi ni watu wawili tofauti. Sasa kwenye hili janga tutajua nani wa kuwasikiliza..
Ila kwa upande mwingine na yeye ni mwanasayansi pia, kinachotia shaka alitumia maabara gani katika ukemia wake kiasi kwamba anatilia shaka mambo yaliyo wazi kabisa. Au hajui korona imo katika vitu pia ndio maana kuosha mikono kunasisitizwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee yani mtu hasira zimempanda vileee!!Nimeshangaa sn kwa mtu ambaye Ni rais anakuwa na hasira kwa kiwango kile!!!!
Mungu wasaidie watanzania.


Arudi dar na dodomaa watanzania wanataka hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usanii tu, yuko mbele ya kamera, inabidi awe kama bongo movie ili atishe watu. Yeye anajidai ana hasira Chato anafanya nini? Atoke aje apambane nayo kama atachukua round.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaikimbia ikulu Dar
Kaikimbia ikulu Dodoma.
Halafu anataka mumwone sii mwoga
Ngoja basi tumone sii mwoga ila ukweli utabaki pale pale kwamba jamaa ni mwoga aliyekimbia uwanja wa mapambano.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anajidai kama mcheza mazingaombwe hivi, tusiamini tunachokiona. Kama WaTz kweli wanamuona rais wao kajifungia huko, na anawaambia wao wajiachie na wanakubali huo ujumbe, basi mazingaombwe yake sio ya kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom