Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Corona tutaishinda Mkuu ondoa wasiwasi

Tatizo nyie waafrica hajiamini

Magufuli ni Rais sahihi kila Nchi duniani inatamani wawe na Magufuli wao
 
Mwanasiasa ni mwanasayansi ni watu wawili tofauti. Sasa kwenye hili janga tutajua nani wa kuwasikiliza..
 
Vijana wa Chadema mnatakiwa muwe Wazalendo la sivyo mtaishia kuwa Wasaliti wa Nchi
 
kwa maisha ya watanzania nyumba za kupanga wewe utachukua tahadhari ylutarudi nyumbani kuna mtu si muaminifu atakuambukiza,
Kila mtu ajilinde na ailinde familia yake, tujaribu kuiga hata mfano wa Rais basi! Yeye keshajifungia usisubiri akuambie jifungie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wa kupima watu hamna ila wa kupima Mbuzi,na Mapapai mpaka na Magari yanapimwa Corona!!..

Badala ya Kuwasikiliza Wataalam ye anatafuta Point of Wickness Bullshit

Kumekuchaa!!! Kumekuchaa!!!!
Sina nia mbaya, nimetafakari mwenendo kwenye mambo mbalimbali katika kadhia ya covid-19 nimehitimisha jamaa yetu atakuwa na magonjwa ya akili. Anazungumza mambo ambayo ya ajabu halafu anatabasamu. Hotuba ya leo ukiisikiliza alikuwa amepaniki kabisa halafu anazungumza mambo ya kutia aibu halafu anatabasamu.

Huyu Jamaa atakuwa ana ugonjwa wa akili.
 
hatari sana
Sina nia mbaya, nimetafakari mwenendo kwenye mambo mbalimbali katika kadhia ya covid-19 nimehitimisha jamaa yetu atakuwa na magonjwa ya akili. Anazungumza mambo ambayo ya ajabu halafu anatabasamu. Hotuba ya leo ukiisikiliza alikuwa amepaniki kabisa halafu anazungumza mambo ya kutia aibu halafu anatabasamu.

Huyu Jamaa atakuwa ana ugonjwa wa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikua wanalalamika vipimo ni gharama,
Wamepata wapi hivyo vipimo vya kupima sungura,mipapai,kware,mbuzi,kondoo n.k?

Hivi hata ukisema ujifungie (quarantine).unadhani utakaa mda gani wakati ngoma ndio imeanza.Na kwa ukaidi wa supreme leader,hii sio ya kuisha leo wala kesho.
Ukikaa ndani utakufa njaa hamna namna lazima utoke ukajitafutie ridhki.
Mpaka sasa kwa hali ilivyo tusidanganyane kwa mwenendo wa nchi corona haiepukiki,
Tufate tu taratibu walizotuwekea ila haiepukiki.

Cha msingi ni kuimarisha kinga ya mwili,mazoezi kula vyakula na matunda yenye vitamin c.
Hapo kwenye mlo pia changamoto mana "mkate umekua mgumu"(ridhki ngum)tokana hali ilivyo,kupata hata mlo mmoja ni shughuli kwa baadh yetu,hakuna biashara inakwenda.

Hao wanafunzi pia nawahurumia hii ngoma ya mdudu corona itachukua mda,wasahau kabisa swala la shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikua wanalalamika vipimo ni gharama,
Wamepata wapi hivyo vipimo vya kupima sungura,mipapai,kware,mbuzi,kondoo n.k?

Hivi hata ukisema ujifungie (quarantine).unadhani utakaa mda gani wakati ngoma ndio imeanza.Na kwa ukaidi wa supreme leader,hii sio ya kuisha leo wala kesho.
Ukikaa ndani utakufa njaa hamna namna lazima utoke ukajitafutie ridhki.
Mpaka sasa kwa hali ilivyo tusidanganyane kwa mwenendo wa nchi corona haiepukiki,
Tufate tu taratibu walizotuwekea ila haiepukiki.

Cha msingi ni kuimarisha kinga ya mwili,mazoezi kula vyakula na matunda yenye vitamin c.
Hapo kwenye mlo pia changamoto mana "mkate umekua mgumu"(ridhki ngum)tokana hali ilivyo,kupata hata mlo mmoja ni shughuli kwa baadh yetu,hakuna biashara inakwenda.

Hao wanafunzi pia nawahurumia hii ngoma ya mdudu corona itachukua mda,wasahau kabisa swala la shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu! Hatari mastaferi Yana korona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom