Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
P
Peleka upumbafu wako huko majuha wenzio! Hizo tuhuma zako dhidi ya Magu ni za kubumba! Watz hatuhitaji lecture za kipumbavu! Tumeshampima Magu na tumeridhika pasi mashaka Kuwa anatufaa na ni mtendaji zaidi...siyo Kama wapuuzi wenzenu huko kuchakuchwa ni makelele kwa Magu lakini ukiwauliza waonyeshe chema walixhofanya ktk nafasi zao unakuta upuuzi mtupu na Sacco's zao! Hao ndio mnatumia nguvu kubwa kuwanadi! Niwape pole maana mnayofanya yote watz tunaelewa na tutawafundisha SoMo Oct 2010!
Magu ni zawadi ya Mungu kwa watz walioomba kwa miongo kadhaa Sasa!
 
Baada ya kuuwa soko la mbaazi akaamua kuua kabisa soko la korosho. Mbazi tulizolima mwaka 2017 ziliozea shambani tulishindwa hata kuzivuna. Mnunuzi mkuu bwana Manji aliwekwa maabusu miezi kibao soko likafa na mkuu akafurahi sana. Korosho akatuma wanajeshi waje kutunyanyang'anya tukawa tunatakiwa kuonyesha mashamba utafikiri kuna mtu amelalamika kaibiwa korosho zake.

Na kwavile mzee wa malofa kafa maana alitegewa kulazimisha kutangazwa kwa kura zisizo halali. utaambulia Moshi kama ule wa Nachingwea.
 
Umempima na mama yako. Kenge wee
 
Unafoka sana ndugu na unayemfokea wala hana habari nawewe.
 
Ametutoa tulipokuwakwenda uchumi wa kati. Wewe hii huioni!
 
Hakuna mabadiliko mepesi usipotaka kwendana na kasi ya mabadiliko lazima utaona kila kitu unaonewa, Tumpe muda kwani alipotutoa ni pabaya mno kuliko alipotufikisha, Tunatakiwa kumuunga mkono kwa sababu anapambana sana kwa maslahi ya Taifa letu.
 
1. Nimepita sehemu pale morogoro nikakuta barabara ya vumbi imekwanguliwa vizurii lakini baada ya km kadhaa barabara ni mbovu sana. Nikauliza wenyeji kulikoni greda liliishia hapa wakati huko mbele barabara ni mbovu nikaambiwa huko mbele diwani ni wa upinzani. Nijachoka

2. Hivyo nikavutiwa kufanya kautafiti kadogo kwa kupita maeneo mengine kadhaa nikagundua sehemu zingine nyingi ni hivyo hivyo. Kipande cha lami kinajengwa na kuichia njiani kisa mbele ya hapo diwani ni mpinzani.

Kama hali iko hivi inchi nzima basi mjue mchawi wa kukwamisha maendeleo ya inchi hii ni serikali zinazoundwa na CCM hasa awamu ya tano.

Nimeamini kisemwacho, CCM haina nia ya dhati kuleta maendeleo ya inchi zaidi ya kufikiria kutawala.

Wananchi wote maeneo yote ya uwakilishi wanalipa kodi iweje miradi ya maendeleo ipelekwe kibaguzi?

Mchawi wa maendeleo ya inchi hii ni ccm na haina nia ya dhati kuwaletea watanzania maendeleo zaidi ya kufikilia kutawala.
 
Hakuna mabadiliko mepesi usipotaka kwendana na kasi ya mabadiliko lazima utaona kila kitu unaonewa, Tumpe muda kwani alipotutoa ni pabaya mno kuliko alipotufikisha, Tunatakiwa kumuunga mkono kwa sababu anapambana sana kwa maslahi ya Taifa letu.
Nakubaliana na ili mkuu...
 
Nadhani nivyema kuwa mkweli kuliko kujitoa ufaham...kusu korosho lengo lilikuwa nikwafaida ya mkulima....hatakama majibu hayakuja kwa kiwango kile bado haiondoi adhima yake....siasa za uongo hazina nafasi akuna wajinga sikuizi
 
Watu wote;-
  1. Tuliopotelewa na ndugu zetu kwa utekaji
  2. Tuliopata hasara katika mazao yetu, mfano korosho
  3. Tuliopotelewa na ndugu zetu wakakutwa kwenye viroba
  4. Tuliosomesha watoto halafu hawajapata ajira
  5. Tulioumizwa na ubaguzi, matusi na dharau
  6. Tuliofilisika kwa sera ya "matajiri wataishi kama mashetani"
Sote tuungane tumnyime kura arudi kwao.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…