Kweli1.Watumishi wote wa umma
2.Wanafunzi wote vyuo vikuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli1.Watumishi wote wa umma
2.Wanafunzi wote vyuo vikuu
Hili genge la wauaji sasa basi!Mjitahidi kuungana halafu tarehe 28 Oct mtapata matokeo yenu.
CCM we isikie tu hivyo hivyo lakini sio ya kupambana nayo ana kwa ana. Ni HATARI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hatari kwa usalama wa nchi nenda popote duniani, lazima UFE TU .Hili genge la wauaji sasa basi!
Umetoka Chato au wapi wewe unashabikia CCM?Kama ni hatari kwa usalama wa nchi nenda popote duniani, lazima UFE TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uoga umekujaa hadi puani.Watu kama ninyi mnapaswa mkaishi Zimbabwe.Yaani umepanga matokeo kabla ya matokeo? Hideous!😂😂😂Mjitahidi kuungana halafu tarehe 28 Oct mtapata matokeo yenu.
CCM we isikie tu hivyo hivyo lakini sio ya kupambana nayo ana kwa ana. Ni HATARI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
We shall overcomeMwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!