Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hii akili ndogo sana, sijui tukusaidieje!
 
Kukaa kimya nako ni upumbavu tu sasa ivi tunawaona wanafiki tu mmejawa na uoga hata familia zenu sijui mnazisimamia vipi, Eti watu wa type za kina assad na hao wachungaji ndio Lissu alitegemea kuwaingiza barabarani ovyo kabisa
Kila jambo na wakati wake , hivi kama Assad angepotezwa wakati ule haya anayoyafichua leo tungeyajulia wapi ?
 
Alafu kwa tabia zake Za kishenzi hizi still TISS na CCM walilazimisha atuongoze! Kweli sijui walituonaje watanzania hawa watu!
Kama hao baadhi ya TISS na CCM walikua wanufaika wakubwa kwa dhuruma inayoendelea unategemea nini na pia Tanzania wageni wamejaa hapo mpaka sehemu za maamuzi...Mungu ni mwema sana tungepata tabu na kuvuja damu kisa kikundi cha kihuni cha watu wachache mimi nilishangaa jinsi walivyotaka kuuza korosho soko la dunia...
 
Kama Magufuli ni fisadi ni lazima atakuwa amewekeza mali nyingi sana ndani na nje ya nchi. Ebu ninyi mnaosema Magufuli ni fisadi tuonyesheni hizo mali na utajiri wake!
Magu alikuwa na madhaifu yake kama mtu ila hizi shutuma nmi za kishenzi sana na hazina ushahidi wowote ule. Chuki binafsi tu kwa sababu mlibanwa mbavu na Magu
 
Ninaamini kabisa huyu Magufuli alikuwa pandikizi wa nchi jirani aliyepewa mission ya kuiharibu Tanzania. Na inasemwa alijaza sana watu wake wa Burundi na Rwanda kwenye system huko!
 
Ukweli hakuwa mstaarabu kuanzi kwao Unawezajd kupasua kwa shoka jeneza alilo nunua dada yako kisa tu mwanamke
Wana Chato wanalijuwa hili
Alikuwa kiumbe hatari sana!!

Aisee!. Hii ni kashfa mpya kwangu. Kumbe alikuwa mbaguzi hadi kwa Dada zake?
 
Mungu ana nguvu sana, ukitaka kuabudiwa anakukata mapembe haraka.

Apumzike kwa amani Mzee wa kudharau wenzake kwakuwa yeye anajua kila fani
 
Hiyo miradi alifanya kwa kutumia hela ya CHATO?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…