Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Huna uwezo wa kunichagulia cha kusikiliza maana mimi siyo mpiga marimba kama wewe

Matusi ya nini? Nimekuwekea pia vitu vingine alivyosema JPM toka kinywani mwake. Tuwe wavumulivu na kukubali hoja mbadala badala ya kung'ang'ania mawazo yetu na yale tunaowapenda tu hata kama hoja zao ni dhaifu sana. Nina uhakika hivi sasa kwa bajeti hiyo aliyotaja JPM ukiugua dawa utapata, vipimo CT Scan, MRI n.k utapata tofauti na hapo nyuma demokraisa ilipokuwa imetaramaki.
 
Matusi ya nini? Nimekuwekea pia vitu vingine alivyosema JPM toka kinywani mwake. Tuwe wavumulivu na kukubali hoja mbadala badala ya kung'ang'ania mawazo yetu na yale tunaowapenda tu hata kama hoja zao ni dhaifu sana. Nina uhakika hivi sasa kwa bajeti hiyo aliyotaja JPM ukiugua dawa utapata, vipimo CT Scan, MRI n.k utapata tofauti na hapo nyuma demokraisa ilipokuwa imetaramaki.
Jitahidi utapata uteuzi wa katibu tarafa maana zile za madc ndiyo umechelewa
 
Habari leo si lenu kazi mnayo

Lakini fedha si zimetengwa na bunge na hansard zipo. Katika hili hakuna cha kwenu wala cha kwetu, Vyote ni mali ya watanzania. Hiyo demokrasia manyoona imeminywa ni model ya wazungu, na inayopaliliwa na viongozi weny mawazo ya omba omba. Hivi sasa ndio tunatengeneza demokrasia yetu waafrika inayojikita katika kiongozi kuwa na mapenzi ya dhati kwa nchi na wananchi wake na kuhakikisha raslimali zote zinzatumika kwa manufa ya wote.

Ni katika kuunga mkono dhan hiyo nimeondokana na kutumia majina bandia katika jukwa hili, nataka nije niwajibishwe kwa kauli zangu na vitendo vyangi kama JPM atatuangusha.
 
Jitahidi utapata uteuzi wa katibu tarafa maana zile za madc ndiyo umechelewa

Nashukuru umeishiwa hoja. Jmosi njema tutaendelea kukutana humu ninyi mkitumia majina ya bandia na sisi tukitumia majina yetu kamili ili kuweka mambo sawasawa. HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA!!
 
Wengine wenye akili timamu na uwezo wa kufiri tusio lalamika wenye kujielewa tumeona tunaelekea wapi ,pili unahitaji kutambua serikali ni wananchi .
 
Wengine wenye akili timamu na uwezo wa kufiri tusio lalamika wenye kujielewa tumeona tunaelekea wapi ,pili unahitaji kutambua serikali ni wananchi .
Waeleweshe na wanao lalamika kuwa serikali yao tukufu inawapeleka wapi?.
 
Nashukuru umeishiwa hoja. Jmosi njema tutaendelea kukutana humu ninyi mkitumia majina ya bandia na sisi tukitumia majina yetu kamili ili kuweka mambo sawasawa. HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA!!
Sisi hatuhitaji kazi kwa kujikomba komba kwa watawala
 
Wengine wenye akili timamu na uwezo wa kufiri tusio lalamika wenye kujielewa tumeona tunaelekea wapi ,pili unahitaji kutambua serikali ni wananchi .
elewesha watu sasa unakaa kimya!..
 
Teuzi zimkupitia mkono wa kushoto sasa anza na kazi ya kuwavalisha wanene viatu labda utafikiriwa

Turudi katika hoja yetu ya msingi tuliyoanza nayo. Kama umechemka sema. na siku ingine msianzishe mada za kipuuzi kwa kufikiri ni ninyi tu ndio mna mawazo. Wapotoshaji wakubwa.
 
Hakuna vipaumbele vya taifa kwa wakati uliopangika, yaani ni vurugu mechi (gombania goli) mara ndege, mara train, mara viwanda, mara vyeti fake, mara bandari, mara siasa, ni vizuri kufanya jambo moja baada ya jingine katika muda mfupi uliopangika.
# Tupo Tupo tu
 
Kauli za Mh. zimejaa ukakasi mara watu walipe risiti mara tena wengine wasilipe..anachukia rushwa lakini anahalalisha za trafiki..anataka tufyatue watoto eti elimu bure..chakula na matibabu nayo atatupa bure? Mi naona kiza kinene mbele yetu
 
Hakuna vipaumbele vya taifa kwa wakati uliopangika, yaani ni vurugu mechi (gombania goli) mara ndege, mara train, mara viwanda, mara vyeti fake, mara bandari, mara siasa, ni vizuri kufanya jambo moja baada ya jingine katika muda mfupi uliopangika.
# Tupo Tupo tu
Mkuranga sasa hivi tumefungua kiwanda cha kutengeneza yebo yebo
 
One man show! Tusubiri hadi mwisho tuangalie kitatokea nini
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?

Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!

Tatizo huyu dereva hafuati sheria za barabarani, na wala hajui anakokwenda...
 
Aise plz, plz plz president Magufuli wa Tanzania achana na wapinzni hukupata urais ili ushugulike na wapinzani, wala ndani ya ilani ya chama chako haimo wewe tayari, na hizi rabish za kusikia leo kakamatwa Lisu, Kubenea na Mbowe na wegine.

Plz fanya kazi iliyokupeleka ikulu, tunahitaji ajira, wewe ulisema baada ya mwezi mmoja au miwli ya uhakiki then utaanza kutoa ajira, plz tekeleza ilani ya chama chako achana na kufanyia kazi siasa!

Achana na kuiga utawala wa Mkapa , dunia ya leo imebadilika sana mkuu, ukipuuza wapinzani wenye mabwenyenye nje ya nchi nchi itavurugika hii!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom