Acheni kulialia nyie...Polisi wetu wapo vizuri na wamewwzeshwa ili waweze kurekebisha na kukuza hali ya Uchumi.Magufuri ni mbabe!! Uchumi una njia zake!! Watendaji wake wanafanya kazi kumridhisha kutokana na ubabe wake!! Raia jiandaeni na mbonyeo wa ukata!!!
huwezi ukaongoza taifa kibabe kama unavyotaka
Tena anafanya ubabe na walioubeba uchumi (wafanyabiashara)huwezi ukaongoza taifa kibabe kama unavyotaka
UNAIMARISHA MAJESHI ILI UBABE WAKO UWE NA NGUVU.Acheni kulialia nyie...Polisi wetu wapo vizuri na wamewwzeshwa ili waweze kurekebisha na kukuza hali ya Uchumi.
Na kweli tunakaa sawa,kama una pesa zako kipindi hiki ni cha kujizolea majumba/viwanja. maana hali ni mbaya kitaani.Tutakaa sawa tu.
Atachapisha hela nyingine ili ziwe nyingi wale masikini anao wapenda wapate angalao kidogo.Ndio vilio vimeanza,mkuu analeta ubishi kwenye mambo ya kiuchumi. Pesa kwenye mzunguuko imepungua,Bandarini mizigo imepungua,biashara zinafungwa na wengine wanaziuza.Ni katika kipindi hiki ndio viwanja na majumba mengi yanauzwa na pesa za kununulia hakuna,waliokopa miezi kadhaa nyuma wameshindwa kulipa mikopo wanaishiwa kufilisiwa na bado baadhi ya mali hazinunuliki hali inayopelekea wakopeshaji nao kupata pesa iliyo chini ya malengo.
Nini mh rais hafanye kuinusuru hali hii ............maana mambo ya kiuchumi yanatugusa wote,sio wanasiasa tu.
Mh rais anasema pesa zimefichwa,inawezekana hii ni kweli, hebu tumpeni ushauri mh rais nini kifanyike na ni wapi alipokosea.
Eti eeeh, mfa maji huyo.Tutakaa sawa tu.
Bei ya dola kushuka si alama ya uchumi kuimarika.
Wachina wanapigania kila siku Dola iwe bei ya juu kwa hela yao ya Yuan.
Uchumi unapimwa kwa uzalishaji, sio kwa bei ya dola. Tena mwenye uzalishaji zaidi kama China anaweza kutaka dola iwe bei ya juu kwa makusudi, ili exports zake ziwe rahisi kwa kuangalia dola ya Kimarekani.
Ushaelewa somo?
Kama hujaelewa soma waziri wa fedha wa Marekani alivyokuwa analalamika Wachina wanafanya hela yao isiwe na thamani sana kwa makusudi.
Geithner Says China Must Boost ‘Undervalued’ Yuan
Huyu hata mitano hataimaliza.Siyo kila mtu lazma ale miaka kumi
Mitano inatosha
###amka tanzania####
Ndio vilio vimeanza,mkuu analeta ubishi kwenye mambo ya kiuchumi. Pesa kwenye mzunguuko imepungua,Bandarini mizigo imepungua,biashara zinafungwa na wengine wanaziuza.Ni katika kipindi hiki ndio viwanja na majumba mengi yanauzwa na pesa za kununulia hakuna,waliokopa miezi kadhaa nyuma wameshindwa kulipa mikopo wanaishiwa kufilisiwa na bado baadhi ya mali hazinunuliki hali inayopelekea wakopeshaji nao kupata pesa iliyo chini ya malengo.
Nini mh rais hafanye kuinusuru hali hii ............maana mambo ya kiuchumi yanatugusa wote,sio wanasiasa tu.
Mh rais anasema pesa zimefichwa,inawezekana hii ni kweli, hebu tumpeni ushauri mh rais nini kifanyike na ni wapi alipokosea.
Hapo ndio atazidi kuchemsha.Atachapisha hela nyingine ili ziwe nyingi wale masikini anao wapenda wapate angalao kidogo.
hahahaha. ni kweli, kwasababu hata ukipotea hautajua kama umepotea.kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Duh hiyo mpya nlikuwa Sijajua Kama police ndiyo wanakuza uchumi...Acheni kulialia nyie...Polisi wetu wapo vizuri na wamewwzeshwa ili waweze kurekebisha na kukuza hali ya Uchumi.