Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
sasahivi tu, mataifa ya nje yanatuangalia halafu yanashangaa kwanini tulimwaga sifa zote zile. na hakika yake mzee anakazi nzito sana kuwaaminisha wananchi kumchagua tena 2020, kwasababu ujue kupata kura hakuji tu kwa kutamka maneno kwamba "mimi nipo pamoja na masikini", manake hayupo pamoja na matajiri, kumba nyuma ya matajiri na wafanyakazi kuna msururu wa masikini wanamtegemea. maisha mtaani ni magumu sana na huu ni mtaji mzuri sana kwa ACT WAZARENDO au CHADEMA 2020.