Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado sana badoTulipiga kelele sana hatoshiiiiii hamkutuelewa sasa mwajionea wenyewe!
Tulipiga kelele sana hatoshiiiiii hamkutuelewa sasa mwajionea wenyewe!
Tulizeni vinyero dawa iwaingie,HAPA KAZI TU.Tena hatochi kabaki kujihami tu
sasa inakuwaje chadema tunakimbiwa?#medeye#
ilikuaje sasa akaaminiwa chadema hadi kupata nafasi ya kugombea uspika??chadema hawana intelijensia?? au chadema walikurupuka?Medeye hakuwa mwanacdm bali alikuja cdm kufuata madaraka.
Mkuu, wala usibabaike. Hawa wote ni Team Mamvi ambao wanadhani kumshambulia humu Magufuli ndo kumpaisha LowasaDuuh leo Magufuli ana Kazi JF kila Thread Inayokuja Inamwelekea Yy tu
Duh! Vipi kuhusu Lowasa? Ina maana ninyi CHADEMA mnawaacha tu watu wasio wana CHADEMA wanakuja kuchukua vyeo kwa mgongo wenu? Kweli ninyi ni mazobaMedeye hakuwa mwanacdm bali alikuja cdm kufuata madaraka.