Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umasikini nilionao nisingebaki Tanzania kama pesa ninayo ningehamisha familia yangu kwenda nje ya nchi hii si kuendelea kushuhudia upuuzi huu hata vizazi vyangu vitalisi huu ujinga nawahurumia mno.Nenda Congo au Somalia
Tegemeo la watanzania limegeuka kuwa chukizo huyu kiboko yake kura yako 2020
Wewe unawasemea watanzania au chadema?Tegemeo la watanzania limegeuka kuwa chukizo huyu kiboko yake kura yako 2020
Sawa KAOGE tumekusikiaNenda Congo au Somalia
Wewe pia niwahovyosana maana hujuwi kile wakiandika.Kwa sasa tuna Taifa la hovyo sana unamfukuza muhongo na simbachawene kwa kashfa za matumizi mabovu ya ofisi za umma unamteua mnyeti kuwa mkuu wa mkoa kisa waliotoa habar wanatoka upande ambao hutaki kuusikia hili ni jambo la ajabu mno tena linalitia aibu taifa kiongozi ulieapa kuongoza kwa misingi ya sheria,haki na utu leo unageuza Taifa mali yako kauli na matendo yako ndo sheria sijui mnashangiliaga nini kuushinda upunzani ktk chaguzi mbalimbali ikiwa uwepo wao hautakiwi kwa mawazo ua hata kushiriki ktk nyanja mbalimbali za maendeleo ya Taifa hili kwa nini usifutwe kuokoa upotevu wa pesa zinazotolewa kama ruzuku?
Kuna vitu ukivifikiria kwa mapana na marefu vinaleta ukakasi mkubwa mno ndio mana kuna kiongozi mkubwa wa Taifa hili alihitaji sana kuombewa alishayajua matatizo yake huwezi ukiliongoza Taifa kwa kuligawa kwa itakadi za uvyama kiaisi hiki hili linaleta mahusiano mabovu miongoni mwa watanzania hizi nyufa zinazidi kutatuka kwa kasi kubwa mno kinachoongelewa na kiongozi wetu si matendo ayafanyayo amekuwa na mtu wa kuangalia ni nani wa kumshughulikia muda unavyozidi kwenda anazidi kupoteza imani na matumaini waliyokuwa nayo watanzania kwake.
Vitendo vya rushwa ni vigumu kufutika na vitaongezeka kwa kasi hasa kwa wale wanaovitumia kumfurahisha yeye.
Kwa sasa tuna Taifa la hovyo sana unamfukuza muhongo na simbachawene kwa kashfa za matumizi mabovu ya ofisi za umma unamteua mnyeti kuwa mkuu wa mkoa kisa waliotoa habar wanatoka upande ambao hutaki kuusikia hili ni jambo la ajabu mno tena linalitia aibu taifa kiongozi ulieapa kuongoza kwa misingi ya sheria,haki na utu leo unageuza Taifa mali yako kauli na matendo yako ndo sheria sijui mnashangiliaga nini kuushinda upunzani ktk chaguzi mbalimbali ikiwa uwepo wao hautakiwi kwa mawazo ua hata kushiriki ktk nyanja mbalimbali za maendeleo ya Taifa hili kwa nini usifutwe kuokoa upotevu wa pesa zinazotolewa kama ruzuku?
Kuna vitu ukivifikiria kwa mapana na marefu vinaleta ukakasi mkubwa mno ndio mana kuna kiongozi mkubwa wa Taifa hili alihitaji sana kuombewa alishayajua matatizo yake huwezi ukiliongoza Taifa kwa kuligawa kwa itakadi za uvyama kiaisi hiki hili linaleta mahusiano mabovu miongoni mwa watanzania hizi nyufa zinazidi kutanuka kwa kasi kubwa mno kinachoongelewa na kiongozi wetu si matendo ayafanyayo amekuwa na mtu wa kuangalia ni nani wa kumshughulikia muda unavyozidi kwenda anazidi kupoteza imani na matumaini waliyokuwa nayo watanzania kwake.
Vitendo vya rushwa ni vigumu kufutika na vitaongezeka kwa kasi hasa kwa wale wanaovitumia kumfurahisha yeye.
Wew
Wewe pia niwahovyosana maana hujuwi kile wakiandika.
Kama taifa kuna haja ujitafakari uondoke kimya kimya uende kule unafikiri nikuzuri...sorry
Wewe unawasemea watanzania au chadema?
Hamia Rwanda Mkuu..
CHADEMA ni wakenya? Upumbavu huu mtaacha lini?Wewe unawasemea watanzania au chadema?
Wewe unawasemea watanzania au chadema?
Basi hamia Kenya hapo, si gharama sana, kuna Zambia, Mozambique.Rwanda na Uganda ni wale wale tu wanaamink ktk nguvu sio hoja na upendo kama mshikamano wa Taifa.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye maajabu mengi duniani.Kwa sasa tuna Taifa la hovyo sana unamfukuza muhongo na simbachawene kwa kashfa za matumizi mabovu ya ofisi za umma unamteua mnyeti kuwa mkuu wa mkoa kisa waliotoa habar wanatoka upande ambao hutaki kuusikia hili ni jambo la ajabu mno tena linalitia aibu taifa kiongozi ulieapa kuongoza kwa misingi ya sheria,haki na utu leo unageuza Taifa mali yako kauli na matendo yako ndo sheria sijui mnashangiliaga nini kuushinda upunzani ktk chaguzi mbalimbali ikiwa uwepo wao hautakiwi kwa mawazo ua hata kushiriki ktk nyanja mbalimbali za maendeleo ya Taifa hili kwa nini usifutwe kuokoa upotevu wa pesa zinazotolewa kama ruzuku?
Kuna vitu ukivifikiria kwa mapana na marefu vinaleta ukakasi mkubwa mno ndio mana kuna kiongozi mkubwa wa Taifa hili alihitaji sana kuombewa alishayajua matatizo yake huwezi ukiliongoza Taifa kwa kuligawa kwa itakadi za uvyama kiaisi hiki hili linaleta mahusiano mabovu miongoni mwa watanzania hizi nyufa zinazidi kutatuka kwa kasi kubwa mno kinachoongelewa na kiongozi wetu si matendo ayafanyayo amekuwa na mtu wa kuangalia ni nani wa kumshughulikia muda unavyozidi kwenda anazidi kupoteza imani na matumaini waliyokuwa nayo watanzania kwake.
Vitendo vya rushwa ni vigumu kufutika na vitaongezeka kwa kasi hasa kwa wale wanaovitumia kumfurahisha yeye.