Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Ungenijibu kuhusu kagame kuwekwa na mseveni ndio tuhamie upande wa mseveni...
Kati ya M7 na PK nani alikua wa kwanza kua Rais kabla ya mwenzake?

Ukipata hilo jibu then jiulize huyo aliyekua rais kabla ya mwenzake aliingizwa madarakani na wakina nani

Hapo utapata jibu sahihi.
 
Kati ya M7 na PK nani alikua wa kwanza kua Rais kabla ya mwenzake?

Ukipata hilo jibu then jiulize huyo aliyekua rais kabla ya mwenzake aliingizwa madarakani na wakina nani

Hapo utapata jibu sahihi.
Sasa mbona unaongea kitu kama unajua wakati majibu hauna viswali vya darasa la nne hivi museven alikua Rais toka mwaka 86 huyu PK ni juzi tuu mwaka 2000 yaani huyo mzee alikuwepo kwenye vita ya rebbelion ya Iddi Amin na Obote na PK ni Rais wa awamu ya sita hapo Rwanda...
 
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
Walimu waliokufundisha walipata tabu sana
 
Mema aliwafanyia nyie hakuwabomolea nyumba,huku kwetu nyumba zilipisha barabara bila kulipwa tena kukiwa na zuio la mahakama.

Huko kwenu mwanza barabara ndo ilipisha nyumba
Wale wasibomolewe kwa sababu walinipa kura ! What a President !
 
... eti mitano tena; my foot! Atukuzwe Mungu wa Mbinguni kwa matendo yake makuu. Watanzania tungeteseka sana kama nia ile ingetimia bila Mungu kuchungulia yaliyokuwa yanaendelea Tanzania na kuingilia kati!

Mwalimu Nyerere alionya kuwa katiba yetu ilikuwa inampa Rais wetu mamlaka makubwa sana kiasi kwamba anakuwa kama MUNGU mtu; akaonya kuwa siku moja mnaweza kupata RAIS MWEHU ambaye atayatumia mamlaka hayo vibaya hapo ndio mtakapojuta!! Hilo likatokea 2015 nchi ikampata Rais ambaye hakuwahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi na matokeo yake wananchi mmeyaona!!
 
Mwalimu Nyerere alionya kuwa katiba yetu ilikuwa inampa Rais wetu mamlaka makubwa sana kiasi kwamba anakuwa kama MUNGU mtu; akaonya kuwa siku moja mnaweza kupata RAIS MWEHU ambaye atayatumia mamlaka hayo vibaya hapo ndio mtakapojuta!! Hilo likatokea 2015 nchi ikampata Rais ambaye hakuwahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi na matokeo yake wananchi mmeyaona!!
Duh !
 
LWAITAMA MNAFIKI,ATEKWE ASSAD,UTOE TAARIFA WEWE, KUMBE WE NI ACD WA ASSAD! MMEZEEKA VIBAYA.
Wewe unaona ajabu gani Lwaitama kujua kilicho msibu Prof. Assad? Kwa taarifa yako Dk. Lwaitama na Prof. Assad wote waliwahi kuwa Lecturers Chuo Kikuu cha DSM, usibeze beze binadamu wenzako kabla hujafanya utafiti kwanza.
 
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
Wawe fair kueleza mazuri na mabaya yake. Siyo upamj0
Kama Magufuli ni fisadi ni lazima atakuwa amewekeza mali nyingi sana ndani na nje ya nchi. Ebu ninyi mnaosema Magufuli ni fisadi tuonyesheni hizo mali na utajiri wake!
Magu alikuwa na madhaifu yake kama mtu ila hizi shutuma nmi za kishenzi sana na hazina ushahidi wowote ule. Chuki binafsi tu kwa sababu mlibanwa mbavu na Magu
Shida ya watanzania kila Rais na awamu yake amelaumiwa na kupondwa mawe tuache tabia hii. Ninakumbuka Rais Nyerere alisemwa jana kuhusu ujamaa na kuanguka kwa uchumi, Rais Mwinyi alisemwa sana kuhusu udini na uchumi wa fedha kwenye soksi,Mkapa kuhusu kuuza mashirika ya umma ingawaje alikiri kufanya makosa,Kikwete kuhusu ubadhirifu, Rushwa ,Ufisadi madawa ya kulevya na pia udini,Magufuli analaumiwa kuhusu ufujaji, ubadhirifu na ukabila. Je nani msafi sasa kama ndivyo hivi. Hata hivyo tuwe na nidhamu iwapo tulishindwa kuyasema haya Rais akiwa hai akifa tukisema haisaidii tunawaonea na ni udhaifu.Hawa wote kila mtu aliyefariki aliacha legacy yake. Vinginevyo Marais walio hai tuwadai majibu wa waliyofanya kabla hawajaenda ahera. Waliofariki tuwaache wapumzike kwa vile hawawezi kujitetea.Wako kwemye himaya ya Mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom