Anayejua rika au umri wa mshana jr

Anayejua rika au umri wa mshana jr

Uyo jamaa simwelewagi apa jukwaani kama ni kijana au mzee make kila jukwaa yupo mambo ya kitoto utamkuta uchumi siasa mpaka kwa akina harmonize tofauti na watu wengine
Kati ya 35na 40 kama mi mwongo aje anikosoe niko tayari ila sio kwa kunikosoa kwa ndumba zake
 
nachompendea jamaa huwa hajifichii.nenda pale mamlaka ya bandari dar utamkuta kajaa tele (utamkuta kavaa reflectors za njano na kofia zile bakuli nyeupe),
 
nachompendea jamaa huwa hajifichii.nenda pale mamlaka ya bandari dar utamkuta kajaa tele (utamkuta kavaa reflectors za njano na kofia zile bakuli nyeupe),
[emoji30][emoji30][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Ni mzee wa makamo! Kama miaka 60 hivi na ushee! Ni mganga maarufu wa kienyeji hapa Msata. Wasanii wote wenye majina makubwa na wanasiasa mashuhuri, humtegemea sana kwenye mambo ya kusafisha nyota.
 
Back
Top Bottom