Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshashiba michembe na furu hadi kumbukumbu zimefutika.Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswaada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea .
Mwanza tunaandama kwa lipi ?
Hii sio hoja. Otherwise ni maandamano ya kupotezea watu muda.Umeshashiba michembe na furu hadi kumbukumbu zimefutika.
Huna mchango kwa Taifa...hapo kwa shemeji ni kujamba tu...Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswaada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea .
Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi ?
Wanakupotezea muda?Kwani wamekuita?Wewe kachunge punda hujalazimishwa kuandamana.Hii sio hoja. Otherwise ni maandamano ya kupotezea watu muda.
WanaCDM siku hizi tumeishiwa hoja kiasi hiki?Huna mchango kwa Taifa...hapo kwa shemeji ni kujamba tu...
Kaa TU nyumbani,au endelea na kazi zako nyingine kama haujui sababu ya maandamano. Hakuna anayekulazimisha wala kukuita kama haujui umuhimu na sababu za maandamano.Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.
Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Unajibu hoja ipi hapo?Yeye ni mgeni nchii hii?Huwa hasikii madai ya wakinzani siku zote?Kashika mkia wa mbwa na bado anataka upepo uvume ili aone tupu ya huyo mbwa?WanaCDM siku hizi tumeishiwa hoja kiasi hiki?
Nimesikitika, huu uzi una hoja nzito, unatakiwa ujibiwe kwa hoja zenye mantiki.
Ndio wameniita. Nilipanga kwenda kuandamana mimi na familia yangu na marafiki zangu.Wanakupotezea muda?Kwani wamekuita?Wewe kachunge punda hujalazimishwa kuandamana.
Barua haijakufikia tu?Wewe hutakiwi.Mkapike bitoke mchanganye na bishontongo,mle,mvimbiwe na mlale.Ndio wameniita. Nilipanga kwenda kuandamana mimi na familia yangu na marafiki zangu.
Kama sihitajiki, basi nitawashawishi marafiki zangu kama unavyosema, tukachunge punda.
Kaandamaneni nyie wenye magari na mapesa ya ruzuku.
Hoja zao ni matusi na kejeli na kuita wapiga kura wajinga.Kwani wewe ulitegemea hoja zenye mantiki?Zitolewe na hawa watukanaji?At least you can see the trend.WanaCDM siku hizi tumeishiwa hoja kiasi hiki?
Nimesikitika, huu uzi una hoja nzito, unatakiwa ujibiwe kwa hoja zenye mantiki.
Sawa, tunatofautiana uelewaUnajibu hoja ipi hapo?Yeye ni mgeni nchii hii?Huwa hasikii madai ya wakinzani siku zote?Kashika mkia wa mbwa na bado anataka upepo uvume ili aone tupu ya huyo mbwa?
Huwa sina mazoea ya kudekezadekeza.Kama alivyokwangua vocha apate MBs ndivyo hivyohivyo atafute taarifa.Asiwe kama member mmoja katuuliza kama ameshika ujauzito wakati tumbo ni lake.Sawa, tunatofautiana uelewa
Huyu anastahili kuelimishwa hata kwa ufupi kuliko majibu ya kibri na kejeli.
Kumbuka huyu ni mwsnanchi anacha shughuli zake kwends kuandamana.
kupima political temperature kama wapo ama hawapo kanda ya ziwa 🐒Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.
Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Matoke tutakula na hatuvimbiwi.Barua haijakufikia tu?Wewe hutakiwi.Mkapike bitoke mchanganye na bishontongo,mle,mvimbiwe na mlale.
Safi sana.Sijui kwanini Mwendazake alikuwa anaogopa maandamano. Kumbe ni vitu vyepesi sana.
Samia akili kubwa kwenye hili. Amewaachia waandamane na anawapa ulinzi wanapotembea barabarani
Hawa CHDEMA wakiandamana mara 5 watakuwa wamechoka.