Anayejua sisi wa Mwanza tunaandama kwa sababu ipi anijuze?

Anayejua sisi wa Mwanza tunaandama kwa sababu ipi anijuze?

Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Kaa TU nyumbani,au endelea na kazi zako nyingine kama haujui sababu ya maandamano. Hakuna anayekulazimisha wala kukuita kama haujui umuhimu na sababu za maandamano.
 
tuna andamana tuna kila kitu dhahabu,ziwa lakini wewe bado ni mjinga na subiri simu yako ikwishe chaji ujue umeme uanatoka chooni
 
Ndio wameniita. Nilipanga kwenda kuandamana mimi na familia yangu na marafiki zangu.

Kama sihitajiki, basi nitawashawishi marafiki zangu kama unavyosema, tukachunge punda.

Kaandamaneni nyie wenye magari na mapesa ya ruzuku.
Barua haijakufikia tu?Wewe hutakiwi.Mkapike bitoke mchanganye na bishontongo,mle,mvimbiwe na mlale.
 
WanaCDM siku hizi tumeishiwa hoja kiasi hiki?

Nimesikitika, huu uzi una hoja nzito, unatakiwa ujibiwe kwa hoja zenye mantiki.
Hoja zao ni matusi na kejeli na kuita wapiga kura wajinga.Kwani wewe ulitegemea hoja zenye mantiki?Zitolewe na hawa watukanaji?At least you can see the trend.
 
Unajibu hoja ipi hapo?Yeye ni mgeni nchii hii?Huwa hasikii madai ya wakinzani siku zote?Kashika mkia wa mbwa na bado anataka upepo uvume ili aone tupu ya huyo mbwa?
Sawa, tunatofautiana uelewa

Huyu anastahili kuelimishwa hata kwa ufupi kuliko majibu ya kibri na kejeli.

Kumbuka huyu ni mwsnanchi anacha shughuli zake kwends kuandamana.
 
Sawa, tunatofautiana uelewa

Huyu anastahili kuelimishwa hata kwa ufupi kuliko majibu ya kibri na kejeli.

Kumbuka huyu ni mwsnanchi anacha shughuli zake kwends kuandamana.
Huwa sina mazoea ya kudekezadekeza.Kama alivyokwangua vocha apate MBs ndivyo hivyohivyo atafute taarifa.Asiwe kama member mmoja katuuliza kama ameshika ujauzito wakati tumbo ni lake.
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
kupima political temperature kama wapo ama hawapo kanda ya ziwa 🐒

kujoke vyombo vya ulinzi na usalama 🐒

kuwahadaa wananchi kanda ya ziwa 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Barua haijakufikia tu?Wewe hutakiwi.Mkapike bitoke mchanganye na bishontongo,mle,mvimbiwe na mlale.
Matoke tutakula na hatuvimbiwi.

Nyie na akina Slaa mlifanya tukapigwa mabomu kule Arusha baadae mkaenda CCM mkapiga hela, mkatuacha na umasikini wetu.

Saa hizi tena mnataka tuandamane, hivi mnatuchukuliaje kwanza?

Mnatuona hatuna akili eti?
 
Sijui kwanini Mwendazake alikuwa anaogopa maandamano. Kumbe ni vitu vyepesi sana.

Samia akili kubwa kwenye hili. Amewaachia waandamane na anawapa ulinzi wanapotembea barabarani

Hawa CHDEMA wakiandamana mara 5 watakuwa wamechoka.
Safi sana.
 
Back
Top Bottom