Anayejua sisi wa Mwanza tunaandama kwa sababu ipi anijuze?

Anayejua sisi wa Mwanza tunaandama kwa sababu ipi anijuze?

Matoke tutakula na hatuvimbiwi.

Nyie na akina Slaa mlifanya tukapigwa mabomu kule Arusha baadae mkaenda CCM mkapiga hela, mkatuacha na umasikini wetu.

Saa hizi tena mnataka tuandamane, hivi mnatuchukuliaje kwanza?

Mnatuona hatuna akili eti?
Wewe utulie nyumbani uchambue mabawa ya senene.Maandamano na wewe wapi na wapi?Tulizana kama kasuku huku unachungulia dirishani.Maandamano waachie wabishi.
 
Yaani sipewi sababu zaidi ya matusi ,nchi hii ina wananchi wajinga sana
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Inua mikono yote juu tamka wewe ni KLAZA! hapo ulipo umeme unapatikana wakati wote?
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?

Ww usiandamane maana utachoka kutembea, acha wanaume waandamane.
 
Matoke tutakula na hatuvimbiwi.

Nyie na akina Slaa mlifanya tukapigwa mabomu kule Arusha baadae mkaenda CCM mkapiga hela, mkatuacha na umasikini wetu.

Saa hizi tena mnataka tuandamane, hivi mnatuchukuliaje kwanza?

Mnatuona hatuna akili eti?

Hayo sio maandamano ya 🌈, ww subiri siku ya maandamano ya mabasha ndio ujitokeze Ili upate shefa.
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Kuna bilioni zaidi ya tatu za ruzuku zimepokelewa na CDM, inabidi zitumike, na risiti zipatikane, na wanachama waone.

Maana watu washaanza kusema lile ghorofa la Machame, lazima tuwageuza tuwaambie zilitumika kwa maandamano
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Miswada BATILI iliyopitishwa na bunge, Bado haijasainiwa na Rais kuwa SHERIA,

Maandamano yapo kushinikiza asisaini, alete UPYA muswada mwingine wenye matakwa ya wananchi.

Umeelewa au Bado?
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?

Mfumuko wa bei za vyakula, lakini pia katiba mpya ni muhimu na hiyo miswada iliyopita bungeni ni kutuzarau wananchi....

Sijui nani alaumiwe lakini nafikiri ni serikali imeshindwa kusimamia sera zake” sukari kilo ni 5500, vitunguu kilo buku5 kwa speed hii si kuna ndugu zetu watashindwa kula aise?

Bado hauwoni umuhimu wakuandamana? Lengo ni kuwafanya wastuke hao viongozi maana wamejisahau na wametusahau wananchi wao.....
 
Kuna bilioni zaidi ya tatu za ruzuku zimepokelewa na CDM, inabidi zitumike, na risiti zipatikane, na wanachama waone.

Maana watu washaanza kusema lile ghorofa la Machame, lazima tuwageuza tuwaambie zilitumika kwa maandamano
😆😆😆
 
Mfumuko wa bei za vyakula, lakini pia katiba mpya ni muhimu na hiyo miswada iliyopita bungeni ni kutuzarau wananchi....

Sijui nani alaumiwe lakini nafikiri ni serikali imeshindwa kusimamia sera zake” sukari kilo ni 5500, vitunguu kilo buku5 kwa speed hii si kuna ndugu zetu watashindwa kula aise?

Bado hauwoni umuhimu wakuandamana? Lengo ni kuwafanya wastuke hao viongozi maana wamejisahau na wametusahau wananchi wao.....
Sawa
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Kujisaidia vichakani kumezidi kanda ya ziwa tunataka tufundishwe kutumia vyoo. Karibuni Mwanza CHADEMA!
 
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.

Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?

Kama mpaka sasa hujui bora usiende .... Maana akili yako haipo kwenye hiyo level ya maandamano!!
 
Back
Top Bottom