Anayejua software ya ku-type kwa kuongea

Anayejua software ya ku-type kwa kuongea

Watanzania wavivu sana,

Acha hiyo kazi aje kufanya mwingine ambae hataona kazi kufanya kazi

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Mkuu ukiona unatumia nguvu sana kufanya kitu basi ujue huna akili unatumia nguvu badala ya kichwa. There is always an easy way of doing things. Kutype kwa kuongea inawezekana sema lafudhi inabidi iwe nzuri na kwa Kiswahili ni ngumu, may be kingereza, kifaransa, nna lugha nyingine za kimataifa.

Kuna mzungu flani alikuwa anastaajabu jinsi vijana flani ofisi flani walivyokuwa wanahangaika kupandisha mapipa yenye mafuta kwenye gari wakati kulikuwa kuna uwezekano wa kuya viringisha kwenye gari wakawekaubao mpaka yakaingia ndani.
Akawa anacheka anasema "These people are working hard in their own way."
 
nielekeze mkuu
Kwny hiyo pic palipoandikwa dictate ukibonyeza ukianza kuongea inatype yenyewe
JPEG_20201129_110237_4458484043512252822.jpg
 
Hayo ma docs yamechapwa au yameandikwa kwa mkono. Kama yamechapwa na mashine tumia maelezo comment #16 kama hujaelewa tuambie tukuelekeze
 
Hayo ma docs yamechapwa au yameandikwa kwa mkono. Kama yamechapwa na mashine tumia maelezo comment #16 kama hujaelewa tuambie tukuelekeze
yameandikwa sema thank nimefanikiwa
 
kwa mwenye kazi za kutranscript (maneno ya kiswahili kuja ktk maandishi) ani PM tuyajenge
 
HELLO

Habari wana jamvi mimi nimepata shida kidogo mahali nilikuwa nimepewa kazi moja ila kwa kweli ni kubwa mno.

Nina makaratasi hapa kama yote na yameandikwa kwa lugha ya kingereza sasa nilikuwa nataka software nzuri kwa ajili ya kunisaidi kurahisisha kazi, mimi niwe naongea tu yenyewe iwe ina type.

Shida nikuwa nimejaribu hii ya pc ilaimegoma na hapa nimejiunga GB za kutosha.

Asante.
Google Docs na Microsoft word lates zote zinakubali sema shida zinakubali kwa lugha kama kingereza na kifaransa na uwe na tone ya kueleweka siyo unatamka maneno kwa kuyakosea utadhani unatamka lugha yako ya asili
 
Google Docs na Microsoft word lates zote zinakubali sema shida zinakubali kwa lugha kama kingereza na kifaransa na uwe na tone ya kueleweka siyo unatamka maneno kwa kuyakosea utadhani unatamka lugha yako ya asili
Natumia Google Docs iko poa sana saivi nachukua kazi za kutosha
 
Kwanini usitumie OCR software yoyote badala ya kuongea? Scan hayo makaratasi yatageuka kuwa maandishi, then wewe malizia kwa kufanya format za hapa na pale.
OCR software ndio zipi hizo mkuu?naomba ufafanuzi
 
OCR software ndio zipi hizo mkuu?naomba ufafanuzi
Ocr ni kifupi cha Optical character recognition, ni software zinazoweza kutambua maandishi toka kwenye picha.

Zipo professional soft zinafanya hii kazi na zipo software za kawaida kama one note incase kazi yako ni ndogo.
 
Ocr ni kifupi cha Optical character recognition, ni software zinazoweza kutambua maandishi toka kwenye picha.

Zipo professional soft zinafanya hii kazi na zipo software za kawaida kama one note incase kazi yako ni ndogo.
Ok,Je hizi software zinafanya kazi kwenye PC tu au hata simu?
 
Back
Top Bottom