Anayejua tafadhali: Toyota corolla Axio Vs Toyota IST

Anayejua tafadhali: Toyota corolla Axio Vs Toyota IST

Corolla bora zaidi
Maana hivi vi IST baadhi ya njia vigari hivi vinasumbua saana,havipendi shida kama Corolla ambazo ni imara kwa shurba,pia Corolla nafasi kubwa pale kati kwenye miguu na ndani kote kwa ujumla,so ventilation ni kubwa saana kuliko IST
IST = Gari ya Kike
Corolla Axio = gari ya Kiume

Sasa jitathmini,mtanisamehe saana watani zangu wenye IST,ila ukweli utabakia kuwa ukweli,dume kwenye IST aisee haielekei kabisaaa.
Watake radhi wanaume wenye IST tafadhali....
 
Kubali kwanza we mwenyewe huzijui hizo corolla axio ndio tutaendelea na mengine. Manake ulisema zina Engine mbili ya cc1496 na cc 1790 wakati kuna engine nyingine pia ya chini yake ya cc1329 which I can conclude pia according to u huzijui hizi gari pia.

4AT na CVT ndo nini sasa mara 7Gears.

Mshauri mtoa mada umuhimu wa hizo sifa na sioni tunachobishana coz IST na Corolla Axio zote zinatumia pia mfumo huo huo wa CVT kwenye transmission na Engine type moja ya cc1496.

Sasa ukitaka mbwembwe tena mara Super CVT au E-CVT (Electronic Continuous Variable Transmission) tutakua tunafika mbali bila sababu.

Ieleweke kila mtu humu ana uelewa wa jambo fulani kinachotakiwani kufanya ni joint idea collection kwa manufaa ya kila mmoja.

sasa mara unaniambia sijui, mara unaniambia nimuelimishe, hata wewe ikibidi hivyo huzijui axio kwa maana mwanzo ulisema zina cc 1290 while zina cc 1320 sasa haina haja kulumbana walimishe watu kuhusu mfumo huu mpya wa engine mm kwa sasa natumia corolla axio kwa hiyo najua tofauti ua engine hii na zile 4AT. ila ziko poa sana katika nyanja tofauti hata ulaji wa mafuta.
 
sasa mara unaniambia sijui, mara unaniambia nimuelimishe, hata wewe ikibidi hivyo huzijui axio kwa maana mwanzo ulisema zina cc 1290 while zina cc 1320 sasa haina haja kulumbana walimishe watu kuhusu mfumo huu mpya wa engine mm kwa sasa natumia corolla axio kwa hiyo najua tofauti ua engine hii na zile 4AT. ila ziko poa sana katika nyanja tofauti hata ulaji wa mafuta.

Okey Nice one
 
Back
Top Bottom