Anayejua tcu wanavyofanya selection! Msaada tafadhali

Anayejua tcu wanavyofanya selection! Msaada tafadhali

Wote walio illegible wan chance sawa ya kuchaguliwa haijalishi kama wameweka first choice au last choice, mfano mtu anaweza kua kaweka MD Muhimbili ya tatu lakini kafauru kwa kiwango cha kuridhisha na katika machaguo yake mawiki ya mwanzo amekosa akiletwa katika chaguo la tatu na ana nafasi sawa na wale walioweka nafasi ya kwanza
 
Back
Top Bottom