PintoG
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 612
- 732
Imekuwa ikiendelea michakato ya kubadili mifumo ya uendeshaji vilabu vyetu hapa inchini,ambalo ni jambo jema sana na la kuungwa mkono.
simba wamefanikiwa kufikia hatua za mwisho kwa zoezi hilo huku yanga wakianza pia.
Lakini najiuliza swali, nani ajuaye thamani ya vilabu hivi ?
kwa vilabu vya ulaya na hata africa ya kusini ,magharibi na kaskazin ,club nyingi zinajulikana thaman yake.
nilitegemea simba kabla ya kuhitimisha kwa kumtangaza mshindi wa zabuni, wangekuwa wameshafanya utaratibu wa kutangaz tenda na kuippa kampuni ikatahimini kwanza thamani ya simba kabla ya kumtangaz mzabuni, ili anapochukua awe anajua thamani halisi ya timu.
Funzo kwa yanga,wanapaswa kutathimin thamani ya timu ,hii itawapa power wakati wa kunegotiate mikataba ya kimatangazo na mingine ya kibiashara kupitia wadhamini.
simba wamefanikiwa kufikia hatua za mwisho kwa zoezi hilo huku yanga wakianza pia.
Lakini najiuliza swali, nani ajuaye thamani ya vilabu hivi ?
kwa vilabu vya ulaya na hata africa ya kusini ,magharibi na kaskazin ,club nyingi zinajulikana thaman yake.
nilitegemea simba kabla ya kuhitimisha kwa kumtangaza mshindi wa zabuni, wangekuwa wameshafanya utaratibu wa kutangaz tenda na kuippa kampuni ikatahimini kwanza thamani ya simba kabla ya kumtangaz mzabuni, ili anapochukua awe anajua thamani halisi ya timu.
Funzo kwa yanga,wanapaswa kutathimin thamani ya timu ,hii itawapa power wakati wa kunegotiate mikataba ya kimatangazo na mingine ya kibiashara kupitia wadhamini.