Anayekupenda ni huyu hapa katika Maisha yako

Anayekupenda ni huyu hapa katika Maisha yako

Unajuaje mtu hakuwazii mabaya Dr?

Sometimes good treatments ndio upendo wenyewe huo. Sidhani kama kuna mtu anakosea kumpenda anayemtreat vizuri, ndio umeipa jina “kukupa kila kitu”.

However it goes beyond that, jicho la rohoni na akili vinahitajika katika kulitambua hilo.

Ila ndio msiniambie kuwa mtu anaweza kukutreat vibaya na akawa anakupenda heheh!
kuna siku palikuwa na uzi unawazungumzia wanawake wa jf wenye mchango positive, i'd yako ilitajwa mara nyingi sana , sikuwa nimeizingatia hapo awali ila tokea siku hio kila post ya binti kiziwi ninaisoma mara mbili mbili ! nimedhibitisha na kuamini, hongera sana mkuu, zidi kuwa ulivyo.
 
Unajuaje mtu hakuwazii mabaya Dr?

Sometimes good treatments ndio upendo wenyewe huo. Sidhani kama kuna mtu anakosea kumpenda anayemtreat vizuri, ndio umeipa jina “kukupa kila kitu”.

However it goes beyond that, jicho la rohoni na akili vinahitajika katika kulitambua hilo.

Ila ndio msiniambie kuwa mtu anaweza kukutreat vibaya na akawa anakupenda heheh!


Dhamiri ya MTU sio rahisi kuijua

Ni muhimu Sana kuwa na intuition kubwa ya kukuongoza kujua dhamiri ya MTU yeyote kwako.

Ikiwa ur conscience is clear doesn't matter MTU yupo broke or financial stable hatoweza kukudhuru negatively.

Hivyo wanaotupenda Mara nyingi hatuwajui na tunaowapenda haswa hawajui.

Umasikini umefanya kutengeneza kundi kubwa la watu kutoelewa dhana ya UPENDO

MTU kutoa kitu pasipo kuwaza kupewa kitu na huyo aliyempa huo ndo utoaji sahihi.

Kum-treat MTU vzr ni jambo zuri ikiwa haujalenga kujipatia faida kutoka kwa huyo MTU unayemtreat vizuri.

As well Ku-treat MTU vibaya maana yake wewe hauja-qualify kutoa UPENDO

So inahitaji umakini kuelewa haya mambo

Nahitimisha kwakusema anayekupenda haswa ni yule MTU ambaye hakuwazii mabaya.
 
Unajuaje mtu hakuwazii mabaya Dr?

Sometimes good treatments ndio upendo wenyewe huo. Sidhani kama kuna mtu anakosea kumpenda anayemtreat vizuri, ndio umeipa jina “kukupa kila kitu”.

However it goes beyond that, jicho la rohoni na akili vinahitajika katika kulitambua hilo.

Ila ndio msiniambie kuwa mtu anaweza kukutreat vibaya na akawa anakupenda heheh!
[emoji16][emoji16] ety uache mtu anae kutreat vizuri uende kwa bad boys & dreamers. Enjoy the moment, mipango sio matumizi n shit always happen
 
Unajuaje mtu hakuwazii mabaya Dr?

Sometimes good treatments ndio upendo wenyewe huo. Sidhani kama kuna mtu anakosea kumpenda anayemtreat vizuri, ndio umeipa jina “kukupa kila kitu”.

However it goes beyond that, jicho la rohoni na akili vinahitajika katika kulitambua hilo.

Ila ndio msiniambie kuwa mtu anaweza kukutreat vibaya na akawa anakupenda heheh!
Huyu ndio binti kiziwi
 
Deo anakwambia mtu anaweza kuwa na upendo na wew lakini sio mzuri kwenye kukuonesha mapenzi na kuna mtu ni mzuri kwenye kukuonesha mapenzi lakini hana upendo na wew
 
[emoji16][emoji16] ety uache mtu anae kutreat vizuri uende kwa bad boys & dreamers. Enjoy the moment, mipango sio matumizi n shit always happen
Si ndiooo? 🤣

Unless huna uwezo wa kupata hao wanaokutreat vizuri ndio utang’ang’ana na dreamers halafu uje ulalamike umepotezewa muda.

Maisha ni sasa!
 
Naona watu dhana ya upendo inawasumbua nadhani sababu ni uhaba wa maarifa.

Elewa na fahamu kuwa MTU anyekupenda ni mtu yeyote asiyekutakia mabaya .

Kina dada wanalia sana kisa hawaelewi philosophy

MTU anaweza kukupa kila kitu kizuri kwa lengo la kukutumia na mwisho kuua focus yako.

Elewa kuwa MTU anayekupenda kweli, kweli ni yule asiyekuwazia mabaya.

Nadhani hii falsafa imeeleweka
Depal Pitia usome hapa🤪
 
kuna siku palikuwa na uzi unawazungumzia wanawake wa jf wenye mchango positive, i'd yako ilitajwa mara nyingi sana , sikuwa nimeizingatia hapo awali ila tokea siku hio kila post ya binti kiziwi ninaisoma mara mbili mbili ! nimedhibitisha na kuamini, hongera sana mkuu, zidi kuwa ulivyo.
🤍🤍🤍 asante Mkuu.
 
Dhamiri ya MTU sio rahisi kuijua

Ni muhimu Sana kuwa na intuition kubwa ya kukuongoza kujua dhamiri ya MTU yeyote kwako.

Ikiwa ur conscience is clear doesn't matter MTU yupo broke or financial stable hatoweza kukudhuru negatively.

Hivyo wanaotupenda Mara nyingi hatuwajui na tunaowapenda haswa hawajui.

Umasikini umefanya kutengeneza kundi kubwa la watu kutoelewa dhana ya UPENDO

MTU kutoa kitu pasipo kuwaza kupewa kitu na huyo aliyempa huo ndo utoaji sahihi.

Kum-treat MTU vzr ni jambo zuri ikiwa haujalenga kujipatia faida kutoka kwa huyo MTU unayemtreat vizuri.

As well Ku-treat MTU vibaya maana yake wewe hauja-qualify kutoa UPENDO

So inahitaji umakini kuelewa haya mambo

Nahitimisha kwakusema anayekupenda haswa ni yule MTU ambaye hakuwazii mabaya.
Yani wahuni wakitaka lao afu ni la uharibifu wanajitoa Kwa gharama zozote zile il mladi mlengwa usijue kinachoendelea zaidi ya kuona ni UPENDO tu.

Majibu ya kweli utayaelewa baadaye huko baada ya wahuni kutimiza yakwao
 
Back
Top Bottom