Anayemfahamu Ndege ulaya from Azania to UDSM(CoET)

Battery low

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
315
Reaction score
27
wakuu huyo Genius kamaliza mwaka wake wa kwanza hapo CoET civil eng. na anatufundisha kwa muda Adv Maths hapa azania(Yupo vizur mno kwny hili somo) , ila ana tabia ya kujisifia sifia mfano kaweka historia hapo UDSM kutokana na moja ya performance yake na mengine mingi, je ni kweli huyu jamaa ni genius kama tunavyoamini au anatudanganya tu!
 

Kagundua nini?
 

Fuata kilichokuleta sio kufuatilia maisha ya mtu
 
Akiwa Genius au Hasipokuwa genius wewe inakuathiri nini? kama kujisifia na wewe jisifie ili muwe droooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…