Anayemiliki Singida na Ihefu achunguzwe, ligi ya NBC inakwenda shimoni

Anayemiliki Singida na Ihefu achunguzwe, ligi ya NBC inakwenda shimoni

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Wachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu

Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?

Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
 
Gadiel Michael, Joash, Kyombo, Kakolanya, Ndemla, Kagele Wawa wote hawa walitoka 5imba kwenda SFG je tuhoji umiliki wa Simba na Singida FG?
Binafsi sijawahi kuona, Yanga ikiifunga Singida kiulaini mpaka tuseme Kuna namna.

Ila Simba na Coastal unaona kabisa mechi imechezwa kimchongo. Mwaka jana Saidoo alifunga goli 5 mechi moja kimchongo ilimradi awe top scorer.

Wafungaji wengi wa Simba, utakuta Coaster peke yake aliwapa goli kuanzia 3.

Lakini mashabiki wa Simba kwa kulalamika ni fire.

Mpaka Azam.ambayo buwa Yanga inatumika nguvu, ufundi, mbinu na ukubwa kuifunga huwa inaonesha Yanga kawanunua.

Simba mkishindwa kufunga timu, jipangeni siyo kutafuta lawama.

Sijawahi kusikia shabiki wa Yanga, akiwalaumu Simba kwa kuwanunua Ihefu ambao mara nyingi wanaifunga Yanga lakini Simba wanaifunga bila shida.

Simba wanalalamika mpaka wanakera.

Na sasa hivi baada ya AFCON, kina Sillah, Bajana, Feitoto, Akamiko, Kipre Jr wote wanarudiwana mechi na Simba.

Tusubiri mpigwe 5, kwa usajili wenu wa kina Baba car
 
Watakua wanabalance vitabu
Wachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu

Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?

Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
 
Wachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu

Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?

Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
Utahangaika bure tu.
Hizo timu pamoja na shoga yao mkuu,wananufaika na ufisadi serikalini hivyo ni vigumu kushindana nao hadi atokee Rais mkali kama Maguguli ili watu wajibu wanatoa wapi pesa wakati wafanya biashara wakubwa wanapata shida kuendesha timu zao
 
Back
Top Bottom