Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mwenyezi Mungu azidi kumlinda ili wakenya wapate nusra...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah!ila kiu yangu haijaisha kumfahamu Mo Ali,kama kuna mafunzo ya kijeshi alipitia.maana hata matukio ya kivita na hatari ankuwa frontlineBahati mbaya sina hiyo clip, lakini Tanzania Editors Forum walikuwa wanachukua video tukio lote watakuwa nazo
wanasema ni sudden death alikufa mwaka jana december 14! abubakar makaburi hatunaye naye alikula shaba kama rogoInnalilah wainnaliLlah rajiun.
Kifo chake kilikuwaje? je,ni kifo kama cha wakina Rogo.?? Na je,Makaburi naye bado yupo au Ndo hivyo tenaa!
Kenya hakufai!kumbewanasema ni sudden death alikufa mwaka jana december 14! abubakar makaburi hatunaye naye alikula shaba kama rogo
Aliuliwa mazingira gani,nyumbani kwake au alikuwa targeted at a certain area apart from his home and Masjid?wanasema ni sudden death alikufa mwaka jana december 14! abubakar makaburi hatunaye naye alikula shaba kama rogo
Sawa!mkuu,ila nahisi jamaa ni jasusi wa kujitegemeaBahati mbaya sina hiyo clip, lakini Tanzania Editors Forum walikuwa wanachukua video tukio lote watakuwa nazo
Kwa alivyokuwa ana share experience yake kama investigative journalist inaonyesha sio mtu wa kawaida. na wala haogopi mtu.Sawa!mkuu,ila nahisi jamaa ni jasusi wa kujitegemea
Kikubwa zaidi jamaa ni MSOMALI na si MSUKUMAukiona hivyo ujue kenya wamestaarabika sana, jana uhuru kakashifiwa bungeni leo kamtumia kadi ya x-mas yule mama, kuna watu wana roho za tofauti sana
pesa aitolee wap... njaaa kali yule km mim tu... sema mchapa kaziHuyu jamaa kuna siku alisha wahi kukimbia nchi kisa kutishiwa kuuwawa
alikimbilia kuomba hifadhi Malycia kama sikosei
Kinacho mpa kiburi ni KATIBA YA KENYA
Kamulizeni Jerry Muro alikuwa anafuatia nyayo za huyu jamaa lakini kilicho mpata Jerry hadi leo hataman hata uandishi wa habari
Moha anahela ya ajabu ana magari ya kifahari
Makaburi ameshafariki Alahu maghfirlahu war hamu maskini fii JannahInnalilah wainnaliLlah rajiun.
Kifo chake kilikuwaje? je,ni kifo kama cha wakina Rogo.?? Na je,Makaburi naye bado yupo au Ndo hivyo tenaa!
Swali gani mkuuMohamed Ali alipigwa marufuku ya kutokanyanga ikulu ya kenya
Kuna siku waandishi wa habari walialikwa ikulu jamaa aliuliza swali moja tata hadi rais Moi Kibaki akataka kutoka mbio ikulu
Atakuwa ana pesa nzuri sana aseeee!maana kuna kipindi niliona kanunua gari Benzpesa aitolee wap... njaaa kali yule km mim tu... sema mchapa kazi
Yaani unawaza kama ninachokiwazaMohamede Ali amefatilia mengi sana ndani ya kenya na jitihada zake ni kujitowa zaidi hata kwa kifo.Alishawahi kufatilia kuuliwa kwa shekh Abdu roho na wenzie. Amehusika kufichuwa wasiolipa kodi bandari ya kenya. Amefichuwa tukio la uvamizi wa west gate na Nk• ila najiuliza ni uhuru wa habari aliokuwa nao au ni kujiamini na kuwapa wakenya taarifa sahihi • napenda sana jitihada zake sijui sisi tutawezaje kuyafanya haya
Walimuua ktk mazingira gani ndugu.Makaburi ameshafariki Alahu maghfirlahu war hamu maskini fii Jannah
Ameuawa Na Polisi
afu walivyo wa ajabu hao kenyans.. ndio wanamuona mpumbavu haswa.... aaah aaah aaah chang'aa inawaharibu saana kenyansKwakweli wakenya mmetuzidi mohamed ally tu.[emoji12] [emoji12] [emoji12]