Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Hakuna refa profesional anaefoka hivi uwanjan, ni mpuuzi anayelazimisha kutisha ili aogopewe, ndiyo anaweza fanya hivi.
Refa siyo adui wa mchezaji ni rafiki mkubwa wa mchezaji, ukimuiga Corina kutumbua mijicho hivyo haimaanishi kuwa wewe utakuwa Corina, lakini ukumbuke Corina vile ndivyo alivyo.
Mwenye namba ya huyu lofa amwambie marefa wenye akili Duniani wanacheka na wachezaji uwanjani kwa maana pale ni ofisini kwao na wale ni waajiriwa wenzie. Ukiona mfanyakazi anamfokea mfanyakazi mwenzie kazini namna hii, basi huyo anatafuta kiki na kujikomba kwa mabosi.
Halafu ajifunze kutoa maamuzi ya ushindi kwenye mechi zenye mvuto kama zile na siyo kusawazisha mchezo kwa kumwaga mikadi ili ipatikane suluhu na yeye ajivue lawama toka kila pande.
Refa siyo adui wa mchezaji ni rafiki mkubwa wa mchezaji, ukimuiga Corina kutumbua mijicho hivyo haimaanishi kuwa wewe utakuwa Corina, lakini ukumbuke Corina vile ndivyo alivyo.
Mwenye namba ya huyu lofa amwambie marefa wenye akili Duniani wanacheka na wachezaji uwanjani kwa maana pale ni ofisini kwao na wale ni waajiriwa wenzie. Ukiona mfanyakazi anamfokea mfanyakazi mwenzie kazini namna hii, basi huyo anatafuta kiki na kujikomba kwa mabosi.
Halafu ajifunze kutoa maamuzi ya ushindi kwenye mechi zenye mvuto kama zile na siyo kusawazisha mchezo kwa kumwaga mikadi ili ipatikane suluhu na yeye ajivue lawama toka kila pande.