Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Na badae ndoano inabaki oaSiku hizi ukisikia neno ndoa ujue badae kuna neno ndoano yote yanaenda sambamba ni suala la muda tu.
Inaudhi mi nawauliza mna kipi cha ziada naona wanaishi usharoba upupuNdo bas tena
Na baadaye neno linaanza kupungua kidogokidogoSiku hizi ukisikia neno ndoa ujue badae kuna neno ndoano yote yanaenda sambamba ni suala la muda tu.
Finland wanafanya tofauti na tamaduni zingine duniani, wao wanaruhusu watu wanaotaka kuoana waishi pamoja kwa muda fulani ili waone kama tabia na interests zao zina match, wakishajiridhisha kuwa wanaendana na kuelewana wanaoana, wakiona wamelamba galasa wanatawanyika emmediatelyHello,
Je waoaji na waolewaji wanafahamu na kupata maarifa ya kutosha kuhusu ndoa, why ndoa? Uishije ndoa? Road map ya ndoa inarejea msingi ngapi na ni zipi.
Usipojua haya huna tofauti na masela wenye jinsia tofauti ila wako ghetto na wana mishe mishe fulani.
Hitimisho kama walioa na kuolewa ndio hawa acha tule na wa kwao.
Vuruvuru mikadi ya michango kibao halafu ukiwahoji zero brain kuhusu ndoa zenyewe, nawambia ukishindwa jibu ntakupa elfu25 tu ya usumbufu. Lengo la wapate michango pesa ili wapate kununua vitu na badae vinawagombanisha wanaachanaKwani imekuwaje tena? Mbona kama lawama lukuki?