Dah tunatofautina sana kama alama za vidole vyetu inavyotofautina. Kwangu miye haijalishi anacheza nani iwe mashujaa na simba ama yanga na jang'ombe sijui mtwivila fc na mundu fc(washamba wa ng'ambo), au tukuyu star vs 82 rangers. Nitaangalia kwanza hyo huko kwingine labda nichungulie tu kwenye livescore. Infact napenda sana ligi ya bongo tangu enzi hzo nikisikilza kwenye RTD akna uncle father Ahmed Jongo, Swedi Mwinyi, Ezekiel Malongo, halima mchuka wakirindima kwenye receiver zetu za mkulima