kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Leo saa 18:30 kuna mechi ya Chelsea na Liverpool halafu saa moja mechi ya Simba na biashara.
Nina hamu kuona Simba anafanyaje leo lakini itabidi tu nilazimike kuangalia mechi ya Liverpool.
Huu upangaji ni kama hujuma tu kwani hamtaki hata hao wachezaji waangalie mechi kubwa za PL?
Kibaya zaidi mnatugawa sisi washabiki.
Ni vizuri mkipanga mechi muwe mnaangalia ligi hii pendwa ya uingereza ina mechi gani.Vinginevyo mtaathiri hata mapato ya Azam TV msipotumia akili na mkabaki na akili za kulimia mikorosho
Nina hamu kuona Simba anafanyaje leo lakini itabidi tu nilazimike kuangalia mechi ya Liverpool.
Huu upangaji ni kama hujuma tu kwani hamtaki hata hao wachezaji waangalie mechi kubwa za PL?
Kibaya zaidi mnatugawa sisi washabiki.
Ni vizuri mkipanga mechi muwe mnaangalia ligi hii pendwa ya uingereza ina mechi gani.Vinginevyo mtaathiri hata mapato ya Azam TV msipotumia akili na mkabaki na akili za kulimia mikorosho